Leo katika vyombo vya habari nimemsikia Mh. Mbowe akiitaka serikali itunge sheria au kuingiza kifungu kwenye katiba kinachohusu makabidhiano ya utawala kutoka chama kimoja na kingine.Amesema kwa nchi kama Marekani inachukua siku hadi 72 kwa kiongozi mwingine kukabidhiwa madaraka,ila hapa kwetu ni masaa 48.
Wazo langu:
1. Je CCM iko tayari au inakubali kwamba siku moja wataachi nchi watawale wengine?
2.Je itaweza kupeleka sheria bungeni au kuingiza hiki kifungu kwenye katiba?
Ningependa Wana CCM watoe maoni yao
Wazo langu:
1. Je CCM iko tayari au inakubali kwamba siku moja wataachi nchi watawale wengine?
2.Je itaweza kupeleka sheria bungeni au kuingiza hiki kifungu kwenye katiba?
Ningependa Wana CCM watoe maoni yao