Almost mwaka sasa toka huu uzi uje. Ningetamani kupata ushuhuda toka kwa member wa JF alieyenufaika na uzi huu baada ya kuanza business hii ya kisasa zaidi
Ukiweka line nyingine hata kama ni ya vodacom haifunguki. Simu ni line2 lazima data iwashwe kupitia line yenye respective mpesa acc. Pia wifi hazifungui app.
They are improving so far
Kikawaida Meli na ndege hutumia Nautical miles/hr katika speed lakini computer inaweza kuibadilisha kwenda km/hr.
Mfano nmewahi kuona baadhi ya ndege zikionesha equivalent ground speed ya ndege ikiwa ngani kwenye zile maps za kwenye vile vi screen vya kwenye seats.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.