Recent content by The Who

  1. The Who

    Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

    Haukuwai kuwa mkristo ulikuta tu wazazi wako wanasali kwa wakristo na wewe ukaunga tela..
  2. The Who

    Naomba ufafanuzi kuhusu mali za wizi

    Utatueleza baada y kumvunjia nyumba na kumnyonga mlimtupa wapi?
  3. The Who

    Mtwara - Tandahimba "Wanajeshi wanakagua vitambulisho na mizigo" Kama huna jiandae kuruka kichura chura!

    Hivi unajua mtwara kuna watu kule mpakani wanakimbia nyumba zao na maeneno yao wanaogopa kuchinjwa?
  4. The Who

    Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni jambo linalowezekana

    Ukiweza kusolve swala la chakula umeweza kila kitu
  5. The Who

    Kama jibu lake ni ndiyo, swali lako litakuwa lipi?

    Ivi kweli? Katiba mpya tutapata?
  6. The Who

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hamna kozi oljoro.
  7. The Who

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Mkuu maeneno gani nitapata kiwanja ya town dom chini ya mil 10 nisaidie tafadhari
  8. The Who

    Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na Mwenza wake

    Hahhaha ila wa tanzania tunavimambo vyetu flan ivi
  9. The Who

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Unaweza kama kutakua hakuna mwenye cheti au unanguvu ya msukumo.
  10. The Who

    Kesho yenye vijana wa hovyo

    Usiisumbukie kesho
  11. The Who

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Jeshi halina formula inayonyooka .. wala halikaririki ..mwanzo ilikua ni kwenda ujenzi ni uhakika kama intake kadhaa ujenzi ikwa deal, lakini sa hivi wajenzi walirudishwa. Ivyo ivyo Zamani kozi ya jkt ilikua ni miezi 6 lkini sa hivi ni miezi Mi 4 tu yani hamtofautiani na mujibu tu. Na pia...
Back
Top Bottom