BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,047
Hawa madogo wa sikuhizi wanafikiri UDSM ndo kila kitu wakati ilikuwa zamani sio kwa sasa. Mtu yuko tayari asome Faculty ya kijinga kisa UDSM. Nilimshauri dogo aachane na UDSM maana kwa faculty za biashara niliona wanazingua.
Dogo ameapply IFM na TIA, na CBE kwa course hizo, kati ya Faculty hizi mbili utamshauri mtu asome ipi?
1. Bachelor of Economics & Finance (BEF).
2. Bachelor of Accounting & Finance (BAF).
NB: Atasoma na CPA
Dogo ameapply IFM na TIA, na CBE kwa course hizo, kati ya Faculty hizi mbili utamshauri mtu asome ipi?
1. Bachelor of Economics & Finance (BEF).
2. Bachelor of Accounting & Finance (BAF).
NB: Atasoma na CPA