kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Kuna haja ya mamlaka kuwachukulia hatua wenye nyumba wasiojenga vyoo hebu oneni hiki ni choo cha kushare na wapangaji wapo wa kutosha usiangalie kama una moyo mdogo
Kuna Post nimeiona huko mtandaoni mtu kaenda kupanga chumba Kigogo maeneo ya Mburahati huko alisahau kukagua choo kwasababu aliambiwa chooni kuna mtu anaoga akalipia kuja kuhamia choo chenyewe ndo hiki sasa!!
Nimeamini Tanzania kuna watu wanaishi maisha magumu hiki choo ni hatarishi sana. Hivi mnatoa wapi ujasiri wa kwenda kupanga huko kwenye Slums uswahilini?
Nimewaza nyumba inakuaje na choo kama hiki??Nimeona kinyaa kabisa kuna haja ya serikali au mamlaka husika za mitaa au wahusika wa mazingira na mabibi na mabwana afya na kuja na ukaguzi wa vyoo maana ni hatari sana
Choo chenyewe ndo hiki👇👇
View attachment 2738902
Kuna Post nimeiona huko mtandaoni mtu kaenda kupanga chumba Kigogo maeneo ya Mburahati huko alisahau kukagua choo kwasababu aliambiwa chooni kuna mtu anaoga akalipia kuja kuhamia choo chenyewe ndo hiki sasa!!
Nimeamini Tanzania kuna watu wanaishi maisha magumu hiki choo ni hatarishi sana. Hivi mnatoa wapi ujasiri wa kwenda kupanga huko kwenye Slums uswahilini?
Nimewaza nyumba inakuaje na choo kama hiki??Nimeona kinyaa kabisa kuna haja ya serikali au mamlaka husika za mitaa au wahusika wa mazingira na mabibi na mabwana afya na kuja na ukaguzi wa vyoo maana ni hatari sana
Choo chenyewe ndo hiki👇👇