Hivi ule mchanganyo wa sehemu ya ardhi kutoka Tanganyika na Zanzibar ulifanyika wapi vile?
Je, katika mchanganyo huo ; udongo kutoka Zanzibar ulihusisha mchanyato wa udongo kutoka visiwa vya Unguja na Pemba? Au udongo huo ulitoka kisiwa kimoja?
Kuuliza si ujinga bali ni sehemu ya kutaka...
Naona mleta uzi yupo kwa kazi maalumu mbili.:-
1:Anajipendekeza ili avizie makombo ya teuzi zilizosalia.
2:Pengine ameahidiwa kupewa 10% ya millioni 7 zitakazopatikana kutokana na comment za wachangiaji kwenye mada za kijinga anazoleta humu.
Ushauri kwa wanajamii forums:-
Tuwe makini sana na...
Lingetokea MSOGA ama CHATO lingepewa coverage ya kutosha....Maana maji ya washawasha na vifaru vingepelekwa ili kuhakikisha linakimbizwa ....huku UKAWA wakilaumiwa kuwa nyuma ya tukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.