DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,122
kiswahili ni mother tongue ya uncle Magu?? au sielewi maana ya mother tongue?
Magufuli ni Rais pekee duniani hadi leo au inawezekana asitokee mwingine kama yeye mwenye uwezo mkubwa wa kuongea lugha zisizopungua 87 kwa ufasaha,katika lugha za ndani pekee Magufuli anaweza kuongea lugha 83 kwa ufasaha wa hadi asilimia 95 katika scale ya lugha huku akiongea lugha 3 za kimataifa.
Rais Magufuli pia ana uwezo mkubwa wa kuongea Kiswahili kama lugha yake ya asili (mother tongue) huku akiwa ana uwezo pia wa kuongea lugha ya Kinyarwanda na Kirundi (Rwanda-Rundi language) yenye wazungumzaji zaidi ya milioni 50 ukanda huu wa maziwa makuu.
Pia Rais Magufuli ni mahiri sana katika kuongea lugha ya kiingereza huku wataalamu wa lugha wakisema uwezo wake wa kuongea lugha hiyo inamuweka katika nafasi moja na Rais Mstaafu Mkapa.
Chanzo: Hapa na Pale Blogu
Kwel kabsaaNi mahili wa kuongea Vilugha ila siyo Lugha
kiswahili ni mother tongue ya uncle Magu?? au sielewi maana ya mother tongue?
Haaaaaaaaaaaaa rasii simba yupo busy na English coarse Dakawa,tuliani na kilosaRas simba aokoe jahazi linazama
Wanafb wameshahamia hukuKwanini hadhi ya jamii forums inashushwa kirahisi hivi. Mtu akiwaza chochote anakileta na kinakaa?? Chyaa...
Magufuli ni Rais pekee duniani hadi leo au inawezekana asitokee mwingine kama yeye mwenye uwezo mkubwa wa kuongea lugha zisizopungua 87 kwa ufasaha,katika lugha za ndani pekee Magufuli anaweza kuongea lugha 83 kwa ufasaha wa hadi asilimia 95 katika scale ya lugha huku akiongea lugha 3 za kimataifa.
Rais Magufuli pia ana uwezo mkubwa wa kuongea Kiswahili kama lugha yake ya asili (mother tongue) huku akiwa ana uwezo pia wa kuongea lugha ya Kinyarwanda na Kirundi (Rwanda-Rundi language) yenye wazungumzaji zaidi ya milioni 50 ukanda huu wa maziwa makuu.
Pia Rais Magufuli ni mahiri sana katika kuongea lugha ya kiingereza huku wataalamu wa lugha wakisema uwezo wake wa kuongea lugha hiyo inamuweka katika nafasi moja na Rais Mstaafu Mkapa.
Chanzo: Hapa na Pale Blogu
What's that got to do with better healthcare, poverty , unemployment etc ? Use ur brain before posting boyMagufuli ni Rais pekee duniani hadi leo au inawezekana asitokee mwingine kama yeye mwenye uwezo mkubwa wa kuongea lugha zisizopungua 87 kwa ufasaha,katika lugha za ndani pekee Magufuli anaweza kuongea lugha 83 kwa ufasaha wa hadi asilimia 95 katika scale ya lugha huku akiongea lugha 3 za kimataifa.
Rais Magufuli pia ana uwezo mkubwa wa kuongea Kiswahili kama lugha yake ya asili (mother tongue) huku akiwa ana uwezo pia wa kuongea lugha ya Kinyarwanda na Kirundi (Rwanda-Rundi language) yenye wazungumzaji zaidi ya milioni 50 ukanda huu wa maziwa makuu.
Pia Rais Magufuli ni mahiri sana katika kuongea lugha ya kiingereza huku wataalamu wa lugha wakisema uwezo wake wa kuongea lugha hiyo inamuweka katika nafasi moja na Rais Mstaafu Mkapa.
Chanzo: Hapa na Pale Blogu