Recent content by The Proudly African

  1. The Proudly African

    Siri ya Hussein Kumbe vs Siri ya Rayvany

    Ni nyimbo nzuri but nasita kukubali ni kuwa ameurudia wimbo ule wa jumbe sbb amechukua maneno machache sana. But huu ni ushahidi mwingne kuwa wazee wetu walikua ni watunzi wazuri sana wa nyimbo. Ushasikia mwanamuziki wa 'zamani' ameirudia nyimbo ya mwanamuzki wa 'sasa'.
  2. The Proudly African

    Vinega v Ruge

    Hahahaha. Vinega, jamaa walikuwa wanatukana sana wale. But ile harakati wangeicommercialize wangemake sana hela
  3. The Proudly African

    Msanii wa filamu Wastara Juma aomba kusaidiwa pesa ya matibabu na Rais Magufuli

    Unajua lissu alichangiwa na kina nani? Hizi 'intarahawe' thinking ni hatari sana.
  4. The Proudly African

    Wanaume kwanini hamtaki kujibu sms ya "Baby nikwambie kitu?"

    Furaha ya mwanamke ndio umwamba wa mwanaume. Sasa mwanamke wako unamkaushia vipi?
  5. The Proudly African

    Vita vya majimaji mpaka jina la Songea

    Nakiri mimi ni muislam, but swali langu ni kuwa hawa mabwana walipigana kwa sababu ni 'waislam' au sbb ya kupinga 'uvamizi'.
  6. The Proudly African

    Tani 12 za cocaine zakamatwa Colombia, zaweka rekodi ya kiasi kikubwa zaidi

    Hahahaha. Nilipenda hoja yake kuwa hakufanya kosa lolote as he was exploiting flowers.
  7. The Proudly African

    Netanyahu: Jerusalem umekuwa mji mkuu wa Israel kwa miaka 3000

    Ukitaka kulìhalalisha jambo lihusishe na dini, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unafanywa na Israel unaonekana ni sawa sbb ya 'utakatifu wa kidini'. Suala hili linatakiwa kutatuliwa na sheria za kimataifa na si vifungu vya Quran wala Biblia.
  8. The Proudly African

    Ufafanuzi kuhusu kisomo cha 40 baada ya mtu kuzikwa

    Mengi uliyoyaeleza hapo ni porojo za vijiweni na pia mengine yanahusiana na ushirikina. 1. Maiti husafishwa na kinyesi tumboni huondolewa. Hii inaivnza maiti isiharibike haraka. Na kisha hupakwa marashi maalum. Maji yote yanayotumika humwagwa kwani ni uchafu.(kama yakitumiwa na binadam huo ni...
  9. The Proudly African

    SELF DEFENCE, jiandae kwa dharura muda wowote

    Azimisha/kopesha kile ambacho unaweza kukubali/uko tayari kukipoteza.(lend what you can afford to loose)
  10. The Proudly African

    Kwa wale wenyeji na mliowahi kuishi Urambo mkoani Tabora hebu tukutane hapa

    Dah! Nimekumbuka mbali sana, Urambo primary school, milambo stadium enzi za tim ya Eleven stars, Relini. Jamhuri by night ndio ilikua disco. Siasa za urambo zilitawaliwa na familia ya marehem 2 by 3.
  11. The Proudly African

    Huyu alikuwa hajui maana ya dunia ni tambara bovu na siasa ni kupakana matope

    Siasa maana yake ni kusema kwa yakini kuwa ni kitu gani kitatokea na uweze kukielezea kwa nini hakikutoea[kisipotokea].
Back
Top Bottom