Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,799
- 4,195
Tatizo ni unapoongelea Israel unazungumzia makabila 12 ambayo yalikuwa tofauti na yaliishi.maeneo tofauti kulingana na kazi zao. Kabila la yuda (Judea) ndio lilikuwa Jerusalem... Kama empire ilikuwa vast...Israel ndio taifa la kwanza kubwa na lakuheshimika duniani, kama hufaham tambua kwamba lilikuwepo hata kabla ya kuzaliwa kwa YESU zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita (soma ufaham) hivyo sio kitu cha ajabu kusikia idadi hiyo ya miaka, sorry for the truth
Israel ilitawanywa kati ya mataifa na huo mwaka 1947/1948 walikua wanarudi katika maeneo yao ya asili/urithi.