Recent content by The Planner

  1. The Planner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekutana na Serengeti National Park

    Anadengua muno, we muvue tu
  2. The Planner

    JamiiForums Tanzania Msaada katika hili tafadhali

    Mkuu huyu mtafutie Diploma. Hana minimum admission criteria kwa Degree pgms
  3. The Planner

    JamiiForums Tanzania Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

    Hoja hujibiwa kwa hoja. Takwimu kwa takwimu. Tafiti kwa tafiti. Kama mtoa hoja hana data kuna haja gani ya kumjibu kwa data
  4. The Planner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MAISHA: Mama Mkwe alinizika nguvu za kiume,Mke wangu akaniletea mwanaume mwingine kwangu

    Pole sana Mkuu
  5. The Planner

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

    A simple advice mkuu...usilime kama fashion. Ukitaka kilimo chenye tija cum kilimo biashara anza kwanza na utafiti wa masoko ujue....Demand ipoje na in terms of quality and quantity then mengine yatakuwa rahisi. Maana utajua exactly nini kinatakiwa sokoni (km vile aina ya mbegu maana kuna aina...
  6. The Planner

    JamiiForums Tanzania Wenye madeni makubwa na hatujui tutayamalizaje tuliwazane hapa

    Madeni ni afya ya uhai...inafanya kila anaekudai akuombee usife haraka!
  7. The Planner

    JamiiForums Tanzania RIWAYA: Tai kwenye mzoga

    Mtunzi hapokei simu yake. Nimepiga siku ya jumamosi zaidi ya mara mbili lakini hakuna majibu.
  8. The Planner

    JamiiForums Tanzania Usikurupuke pale unapoambiwa kitu fulani kinalipa, tuliza akili kabla ya kufanya maamuzi

    Ujumbe mzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  9. The Planner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Elimu ya bongo ni vagaranti wanaume tunasoma kwa nguvu wanawake wanafaulu kwa kugawa papuchi

    Hii sio kwa level ya University. Hakuna kitu kama hiki. Unless huyo rafiki yako ni external examiner somewhere. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. The Planner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa Mzungu ananitaka, nifanye nini? (True Story)

    Una nyota ya wake za watu mkuu. Maana kabla hujaondoka bongo ilikula mke wa balozi. Ila next time punguza details kwenye post zako unawa expose sana wahusika Sent using Jamii Forums mobile app
  11. The Planner

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Ufukwe wa Madagascar

    Electrifying...
  12. The Planner

    JamiiForums Tanzania Profesa ni nani?

    Ukiwa senior Lecturer unapaswa kutoa machapisho ambayo yanakupa point. Kwa mujibu wa scheme mpya ya pamoja ili kutoka senior lecturer kuwa associate professor unahitaji point 8. Kila chapisho ambalo umefanya mwenyewe na likatoka katika peer reviewed journal na reviewers wakakupa B au A basi...
  13. The Planner

    JamiiForums Tanzania Profesa ni nani?

    Sio lazima professors wote wapite huo mkondo...ndo maana nimesema mara nyingi. Wengine wanaanza moja kwa moja kama lecturer then wanapanda inategemea na level yake ya elimu anayoingia nayo katika ajira
Back
Top Bottom