Rejea Kichwa cha Habari kisha anza zako Kutiririka na Kuserereka kwani Mimi bado niko nje napambana nao ila bado tu wananidindia / wananikatalia Kuondoka.
mm wamemaliza vifaranga nikawawekea Dawa ya panya Zinc wakameza siku ya pili wakaja tena nikakimbia kuleta Dimecron nikachanganya na samaki na nyama wakameza wiki hili wamekuja tena nimenunua manati
jioni hii nimevuta mpaka mwisho wamenikodolea mimacho hawajuai manati, naishusha wakakimbia, nahisi Paka watu si pakamwitu
nawaombeni DAWA YA KUUA PAKA JAMANI GENTAMYCINE Paka ndio hawahawa Pakashume ukipata dawa /sumu ya kuua Paka mwenye loho 7 niTag
Kwa ushsuri tu. Kesho hakikisha unanunua nyama. Bakiza vipande minofu tupu au kichwa cha samaki. Saga vidonge vya piriton kama kumi hivi. Changanya na nyama su kiswa ya samaki. Weka wanapofikia paka. ........asubuhi utakuta paka wako fofofo. Fukia shimoni kabla ya kurudisha udongo mwagia maji ya moto sana. Hii itakuondolea mikosi. Mabibi watakupapatikia na kero ya paka utakua umeimalii ..umeimaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.