Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Ana three ya 16 (Physics -E, Chemistry- S, A/maths- E. Je anaweza pata chuo cha kusoma Bachelor Degree?
Husika na mada tajwa hapo juu, nina mdogo wangu ana ufaulu tajwa hapo juu, je anaweza pata chuo cha kusomea shahada ( bachelor degree)?
Tafadhali wajuzi wa mambo nisaidieni. Maana guide ya tcu inasema minimum entry ni 4.0. Je kama haipo deploma anaweza pata?
Husika na mada tajwa hapo juu, nina mdogo wangu ana ufaulu tajwa hapo juu, je anaweza pata chuo cha kusomea shahada ( bachelor degree)?
Tafadhali wajuzi wa mambo nisaidieni. Maana guide ya tcu inasema minimum entry ni 4.0. Je kama haipo deploma anaweza pata?