Naomba ushauri Tunaingia kwenye kilimo Soon.

blogspot

JF-Expert Member
Jan 7, 2017
1,268
1,138
Habari wakuu. Poleni na mihangaiko.

Wakuu tupo vijana wawili sisi ni wanafunzi kutoka vyuo tofauti UDSM na SUA tumekaa pamoja na kuamua rasmi kuingia katika kilimo wote tulikua JKT mwaka fulani kambi moja. Hivyo tuliweza kupitia vitengo mbalimbali Mfano Kitengo bustani ambapo Matikiti,Matango,hoho yalilimwa sana pia kitengo Mpunga elimu tuliyoipata imetuondoa hofu mpaka tumekaa mezani na kuamua kujikita kwenye kilimo ambacho kitakua ni cha mazao ya muda mfupi tu ili kuweza kumanage masomo na shughuli hizi.

Mpaka sasa tuna Laki nne Mkononi.

Tunataka kupanda Matikiti,Strawberry au Matango. (Ushauri wa hapa unahitajika mnoo)

Tunatafuta Land ekari moja Tu kwakuanzia ambayo haitakua mbali na mji wa morogoro na itakua karibu na chanzo cha maji( Hapa tunaitaji maaada wa kuweza kufahamu wapi tunaweza kupata tafadhali)

Uhakika wa masoko hapa bado tuna hofu kwakua ndio tunaanza tunaomba kujua namna rafiki tutakayoweza kupata masoko ya mazao yetu tajwa hapo juu.

Kiasi/budget tajwa hapo juu tungependa kuuliza kama iataweza kutusogeza kwa miezi miwili then tuje tuongeze tena Laki nne. Wataalam hapa hapa bado tunaitaji ushauri pia.

NB: Nimekaa na bwana shamba mmoja ambaye anajiendeleza kimasomo na kumuomba ukaribu wake haswa tutakapoitaji msaada wa kitaalamu amekubali kabisa bila kusita.

Majukumu tayari tumeshagawana na mwemzangu.

Nawasilisha wakuu.
 
Ngoja waje wajuzi wa mambo haya,ila wasiwasi wangu ni hiyo capital ya laki 4 naona kama ni ndogo sana,labda kama ingekuwa tayari mna shamba...
 
Habari wakuu. Poleni na mihangaiko.

Wakuu tupo vijana wawili sisi ni wanafunzi kutoka vyuo tofauti UDSM na SUA tumekaa pamoja na kuamua rasmi kuingia katika kilimo wote tulikua JKT mwaka fulani kambi moja. Hivyo tuliweza kupitia vitengo mbalimbali Mfano Kitengo bustani ambapo Matikiti,Matango,hoho yalilimwa sana pia kitengo Mpunga elimu tuliyoipata imetuondoa hofu mpaka tumekaa mezani na kuamua kujikita kwenye kilimo ambacho kitakua ni cha mazao ya muda mfupi tu ili kuweza kumanage masomo na shughuli hizi.

Mpaka sasa tuna Laki nne Mkononi.

Tunataka kupanda Matikiti,Strawberry au Matango. (Ushauri wa hapa unahitajika mnoo)

Tunatafuta Land ekari moja Tu kwakuanzia ambayo haitakua mbali na mji wa morogoro na itakua karibu na chanzo cha maji( Hapa tunaitaji maaada wa kuweza kufahamu wapi tunaweza kupata tafadhali)

Uhakika wa masoko hapa bado tuna hofu kwakua ndio tunaanza tunaomba kujua namna rafiki tutakayoweza kupata masoko ya mazao yetu tajwa hapo juu.

Kiasi/budget tajwa hapo juu tungependa kuuliza kama iataweza kutusogeza kwa miezi miwili then tuje tuongeze tena Laki nne. Wataalam hapa hapa bado tunaitaji ushauri pia.

NB: Nimekaa na bwana shamba mmoja ambaye anajiendeleza kimasomo na kumuomba ukaribu wake haswa tutakapoitaji msaada wa kitaalamu amekubali kabisa bila kusita.

Majukumu tayari tumeshagawana na mwemzangu.

Nawasilisha wakuu.
A simple advice mkuu...usilime kama fashion. Ukitaka kilimo chenye tija cum kilimo biashara anza kwanza na utafiti wa masoko ujue....Demand ipoje na in terms of quality and quantity then mengine yatakuwa rahisi.

Maana utajua exactly nini kinatakiwa sokoni (km vile aina ya mbegu maana kuna aina lukuki za mbegu za kila ulichosema hapo juu)
 
Ngoja waje wajuzi wa mambo haya,ila wasiwasi wangu ni hiyo capital ya laki 4 naona kama ni ndogo sana,labda kama ingekuwa tayari mna shamba...
sawa mkuu ila tutaiongeza mpaka laki nane mkuu
 
A simple advice mkuu...usilime kama fashion. Ukitaka kilimo chenye tija cum kilimo biashara anza kwanza na utafiti wa masoko ujue....Demand ipoje na in terms of quality and quantity then mengine yatakuwa rahisi.

Maana utajua exactly nini kinatakiwa sokoni (km vile aina ya mbegu maana kuna aina lukuki za mbegu za kila ulichosema hapo juu)
Ndio Mkuu wangu tutahakikisha tunafanya hiyo kazi boss. Shukrani kwakutuweka wazi
 
Leteni hiyo laki NNE hapa tukuze mtaji ...mi nna mpango wa kulima Vitunguu hapa chekereni moshi (a SUA graduate too!)
 
Mkiweza kujitoa kweli mkalima hoho za kutoa mwez wa kumi nanmbili mwshoni,na mkajituma na kusimamia shamba vzr heka moja ikapata huduma zote january utanitafuta unipe mkono
Mkuu hoho mwezi wa 12 huwa ndio muda wake kwa mkoa wa morogoro?
 
Mtafanikiwa Mungu awaongoze
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha
 
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha


Kwa hiyo Mkuu wewe unalojua ni lipi katika huu ulimwengu?
Nilitegemea ungekosoa maandishi yanayomuelezea huyo Mungu lakini wewe umeenda mbali kumshambulia Mungu, mara aumbe dhambi, mara kutuchoma, sijui maigizo. Wewe ulitakaje? Ulitaka dhambi isiwepo? Kama ndio basi acha dhambi.

Ulimwengu ulimwengu kwa kusudi ulionalo sasa. Mungu alikusudia mambo yawe hivyo uyaonayo. Huna cha kubadilisha zaidi. Heshimu sana akili kubwa Mkuu
 
Kwa hiyo Mkuu wewe unalojua ni lipi katika huu ulimwengu?
Nilitegemea ungekosoa maandishi yanayomuelezea huyo Mungu lakini wewe umeenda mbali kumshambulia Mungu, mara aumbe dhambi, mara kutuchoma, sijui maigizo. Wewe ulitakaje? Ulitaka dhambi isiwepo? Kama ndio basi acha dhambi.

Ulimwengu ulimwengu kwa kusudi ulionalo sasa. Mungu alikusudia mambo yawe hivyo uyaonayo. Huna cha kubadilisha zaidi. Heshimu sana akili kubwa Mkuu
Mkuu hujaelewa..hio ni comment yake jamaa kwenye moja ya thread alikuwa anakataa uwepo wa Mungu sasa nikashangaa huku anamtaja Mungu ndo maana nime mqoute na comment yake
 
Kwa hiyo Mkuu wewe unalojua ni lipi katika huu ulimwengu?
Nilitegemea ungekosoa maandishi yanayomuelezea huyo Mungu lakini wewe umeenda mbali kumshambulia Mungu, mara aumbe dhambi, mara kutuchoma, sijui maigizo. Wewe ulitakaje? Ulitaka dhambi isiwepo? Kama ndio basi acha dhambi.

Ulimwengu ulimwengu kwa kusudi ulionalo sasa. Mungu alikusudia mambo yawe hivyo uyaonayo. Huna cha kubadilisha zaidi. Heshimu sana akili kubwa Mkuu
Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia - JamiiForums fungua huo Uzi angalia comment namba sita
 
Back
Top Bottom