Wakuu hivi kama una bima ya afya halafu dispensary wakadai Malipo kwa kipimo fulani ni sahihi? Tena 3000 tu ni sahihi kweli au njaa tu nipo dispensary nilete mgonjwa na ana Bima
Ww unasema wiki tatu? mimi nimetoka job saa tisa nimempa gal lift nkamueleza kuna sehemu nipitie kama hatojali niende nae halafu ntanpeleka mpaka tumeenda huko nimegegeda kabisa saa moja nkampeleka mpaka karibu na kwake na aka tell ana mume wake, hvi mna wazimu gani na magari?
Nchi hii kipaumbele chake ni siasa ,sasa sijui kuna taifa lilisonga mbele kwa kuweka siasa ebu angalia TV uone mambo gani yanapewa airtime hakuna makala murwa za Uchumi wala Technology yani ni siasa tu
Sawa mkuu nkikumbuka ntakutajia. hio mzugwa nayo ina muku japo si sana but kwa inshu za malaria na homa mzugwa ni the best ni Chungu sana mzugwa kama ulivyosema
Hapana mkuu sio mzugwa hio mzugwa ni ya malaria, Hio ya muku ya kunywa hata mimi nilitumia ni mti fulani mgumu hata upige kazi uwe hoi vipi kesho unapga glass moja asubuhi unakuwa fiti huichemshi unaloeka tu huo mzizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.