Tatizo ni wabunge wenyewe. Tumekaa kichama zaidi kuliko maslahi ya nchi. Mtu anatanguliza chama mbele kuliko nchi. Yuko tayari kulinda uchafu wa chama Kwa gharama ya wananchi. Kwa kweli nina hasira na wabunge sana. Kwa bahati mbaya, hata walio wasomi ni shida. Hakuna aliyejichanganua Kwa uwezo...
Niwe spiritual kidogo. Wewe umeachana na mwenzako ndani ya wiki mbili tuu. Huyo jamaa kakaa kwenye ndoa halali kwa miezi sita tuu. Halafu mnataka kudanganyana mnapendana! I doubt your motives. Both of you. Take time to marry a drop out. Yaani hapo hamna kitu. Nakushauri achana naye au take the...
Stop that bro. Acha kiburi cha uanaume. Kata mawasiliano ba bit juu. Achana na wake za watu. Mbaya mno mno. Inaumiza sana. Inaonyesha pia hauko makini. Ndoto za utotoni zilishapita, yeye ni mke wa mtu, let her be. Think of your life. Kwa nini kumendea vya watu? What goes around comes around...
Congrats for the battle. Trust in God. Its sin to have premarital sex. Its really tempting basing on our social structure that puts much emphasis on sex. Keep on fighting. Ask God to give you the right man. Those who thought they were trying ended up regretting. The sign of a true man is the one...
Nadhani issue ni upendo. Mmekua pamoja kwa miaka mitano. Je, imekua ni miaka ya furaha na amani? Upendo, kujituma, kujitoa sadaka? Je, mmefunga ndoa? Dhehebu gani? Ushauri wangu mchukue mke wako. Vijana wengi sana wa kike wanalaghaiwa na wanaume. Wanabaki wameumizwa sana. Hivyo wengi sana...
Usimwambie mke wako chochote. Italeta shida na huenda kama na yeye alikuwa anasumbuliwa mahali ikawa ndio mwanzo wa kufungua mlango. Mwonyeshe upendo zaidi
Tubu, mwombe Mungu msamaha kulingana na mafundisho ya dini yako. Amani ya kweli hupatikana kwa Mungu kwa wale wanaomwamini. Baada ya hapo, zingatia maisha matakatifu. Kama Mkatoliki ungama kabla hujakutana tena na mkeo. Ishi maisha yanayompendeza Mungu. Sali na soma maandiko matakatifu. Hata...
Nakuunga mkono. His analysis is biased. How about Zanzibar? Demokrasia nchini ikoje? Muingiliano wa kimajukumu ambao ni hatari sana ukoje? Au anafurahia "anaodhani ni maadui wake" kunyimwa uwanja sawa wa kisiasa? Naona uchambuzi wake umekosa uhalisia. Anamuunga mkono Ili kuwaumiza waliomweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.