Msaada wenu tena nipo njia panda

Nimejifunza mnapenda blablaa kibao
habar zenu wakuu
Ni jumapili nyingine tulivu nikiwa nimejilaza ghafla nimeshtuka naanza kumuwazia kijana mmoja ambaye alinitokea kama mwaka mmoja na nusu uliopita ni mfanyakazi katka wizara moja nyeti jirani na ofisini kwetu

kipindi nakutana nae alikuwa na matatizo na mke wake akaniaproch nikamwambia nina mtu.basi tukawa kama marafiki mawasiliano yakaendelea japo haikuwa kivile mara chache akinieleza matatizo na mkewe na bla bla me nikawa namshauri asiachane na mkewe avumilie yatapita.

mwishoni mwa dec.mwaka jana akanitext wametalikiana. nikamwambia its fine ni maisha yenu. ikaishia hapo.

Nikiwa katika wakati huu ambao nimeachana na mwanaume wangu km two weeks ago nilikutana nae sehemu hatukuwa tumepanga tukasalimiana na stor mbili tatu akaniomba tuonane tuongee
( of course nilikuwa bored siku hiyo tukatoka ilikuwa jioni) tukakaa sehem tukaongeaaa the guy anadai ananipenda sana anataka tuwe wote nikamwambia nitamjibu.

Ukweli ni kwamba yuko so lovely,mtanashati educated yani ni mwanaume ambaye kila mwanamke akimuona atatamani kuwa nae mo than my x lakini kitu kimoja tu tukiwasilia
na kwenye simu hana maneno mengi, yan ni salam asubuhi, jioni na usiku mwema

(sijui ndivyo alivyo au ni kutokana na mazingra ya kaz yake au ni nini)Ila tukionana ataongea yote the way ananifil na nini na nini anafunguka.

sijampa jibu lakini nawaza sana huu ukimya wake ntawezana nae, nini kilisababisha waachane na mke ndani ya ndoa ya miezi 6?

kukaa more that 10hrs bila kuwasiliana na mtu nayempenda nitaweza?
Ama nakurupuka?

Matusi Hayatanijenga
kama unao ushauri nisaidie nipo njia panda natamani niwe na mtu kuwa alon kunaumiza sana,
 
Nahisi kumpenda lakini naogopa sana nisije nikajakuzama yakanitokea kama yaliyotokea..moyo wa mtu kweli kichaka
Mwanadamu huwezi kumfahamu kwa undani, itachukua miaka saba, naomba uelewe ukiona mwanaume/mwanamke anatabia nzuri ujue katengenezwa.
Hivyo ufahamu kuwa unayowajibu wa kumtengeneza ili akufae.
 
Huyo mtu unampenda? Ama ndio unatamani kuwa naye sababu he's lovely&mtanashati?

Ila mi nakushauri kama utaweza kujitahidi jitahidi tu kuwa alone hawa divorced wa kibongo bongo utajitafutia matatizo mengine makubwa tu

Naamini soon utapata ambaye hajawahi kuoa

Pambana
Wanadamu hawafanani hata siku moja. Huenda mke wa kwanza kamtesa vya kutosha so ujio wa mke mpya unaweza kumpa pumziko la roho, nafsi na mwili.
Au yeye alikuwa tatizo kwa tabia yake hadi ikimpelekea kuachana LAKINI amejifunza na anaweza kubadilika ili asipoteze tena.
 
Kwa iyo ulianza urafiki naye akiwa key ndoa na wewe ukiwa na MTU mwingine,dah hua mnamioyo migumu nyie wamama!
 
habar zenu wakuu
Ni jumapili nyingine tulivu nikiwa nimejilaza ghafla nimeshtuka naanza kumuwazia kijana mmoja ambaye alinitokea kama mwaka mmoja na nusu uliopita ni mfanyakazi katka wizara moja nyeti jirani na ofisini kwetu

kipindi nakutana nae alikuwa na matatizo na mke wake akaniaproch nikamwambia nina mtu.basi tukawa kama marafiki mawasiliano yakaendelea japo haikuwa kivile mara chache akinieleza matatizo na mkewe na bla bla me nikawa namshauri asiachane na mkewe avumilie yatapita.

mwishoni mwa dec.mwaka jana akanitext wametalikiana. nikamwambia its fine ni maisha yenu. ikaishia hapo.

Nikiwa katika wakati huu ambao nimeachana na mwanaume wangu km two weeks ago nilikutana nae sehemu hatukuwa tumepanga tukasalimiana na stor mbili tatu akaniomba tuonane tuongee
( of course nilikuwa bored siku hiyo tukatoka ilikuwa jioni) tukakaa sehem tukaongeaaa the guy anadai ananipenda sana anataka tuwe wote nikamwambia nitamjibu.

Ukweli ni kwamba yuko so lovely,mtanashati educated yani ni mwanaume ambaye kila mwanamke akimuona atatamani kuwa nae mo than my x lakini kitu kimoja tu tukiwasilia
na kwenye simu hana maneno mengi, yan ni salam asubuhi, jioni na usiku mwema

(sijui ndivyo alivyo au ni kutokana na mazingra ya kaz yake au ni nini)Ila tukionana ataongea yote the way ananifil na nini na nini anafunguka.

sijampa jibu lakini nawaza sana huu ukimya wake ntawezana nae, nini kilisababisha waachane na mke ndani ya ndoa ya miezi 6?

kukaa more that 10hrs bila kuwasiliana na mtu nayempenda nitaweza?
Ama nakurupuka?

Matusi Hayatanijenga
kama unao ushauri nisaidie nipo njia panda natamani niwe na mtu kuwa alon kunaumiza sana,
Niwe spiritual kidogo. Wewe umeachana na mwenzako ndani ya wiki mbili tuu. Huyo jamaa kakaa kwenye ndoa halali kwa miezi sita tuu. Halafu mnataka kudanganyana mnapendana! I doubt your motives. Both of you. Take time to marry a drop out. Yaani hapo hamna kitu. Nakushauri achana naye au take the time you want. Alishaanza kukutongoza akiwa na mke wake. Bahati tuu ulimchomolea la sivyo ungekua mchepuko. Shida ni kwamba watu hawajui mapenzi na ndoa ni nini. Kwa amani yako, jipange upya. Acha speed na sii lazima kila wakati uwe na jamaa. Wakati huu huna mwanaume utumie kutafakari zaidi na kuuona huhalisia. Most of you are superficial. No reflection, hence no seriousness in life. Kama unaimani kwa Mungu achana na uzinzi. Ukipuuza, muda si mrefu utakuja tena kuomba msaada. Kwa ushauri wangu achana naye
 
Hana maneno matamu matamu kwenye simu eeh?

Yaani hilo tu pekee ndo linakutatiza?
Mkuu huu ni ugonjwa mkubwa sana kwetu wanawake tuliowengi ukiwin hapo tu utakua umetoa nafasi kubwa sana ya mbeibe wako kutulia...yani ile mornie bby....umekula?....umeshindaje?...uko wapi?...za kutwa?...sio mtu anakutext baada ya siku 2
 
Huyo mtu unampenda? Ama ndio unatamani kuwa naye sababu he's lovely&mtanashati?

Ila mi nakushauri kama utaweza kujitahidi jitahidi tu kuwa alone hawa divorced wa kibongo bongo utajitafutia matatizo mengine makubwa tu

Naamini soon utapata ambaye hajawahi kuoa

Pambana
Yeye mwenyewe divorced, tena wa kibongo. Ndege wanaofanana huruka pa1
 
Mkuu huu ni ugonjwa mkubwa sana kwetu wanawake tuliowengi ukiwin hapo tu utakua umetoa nafasi kubwa sana ya mbeibe wako kutulia...yani ile mornie bby....umekula?....umeshindaje?...uko wapi?...za kutwa?...sio mtu anakutext baada ya siku 2
ndio ukweli
 
Niwe spiritual kidogo. Wewe umeachana na mwenzako ndani ya wiki mbili tuu. Huyo jamaa kakaa kwenye ndoa halali kwa miezi sita tuu. Halafu mnataka kudanganyana mnapendana! I doubt your motives. Both of you. Take time to marry a drop out. Yaani hapo hamna kitu. Nakushauri achana naye au take the time you want. Alishaanza kukutongoza akiwa na mke wake. Bahati tuu ulimchomolea la sivyo ungekua mchepuko. Shida ni kwamba watu hawajui mapenzi na ndoa ni nini. Kwa amani yako, jipange upya. Acha speed na sii lazima kila wakati uwe na jamaa. Wakati huu huna mwanaume utumie kutafakari zaidi na kuuona huhalisia. Most of you are superficial. No reflection, hence no seriousness in life. Kama unaimani kwa Mungu achana na uzinzi. Ukipuuza, muda si mrefu utakuja tena kuomba msaada. Kwa ushauri wangu achana naye
umukagame chukua huu ushauri kama ulivyo.....
 
habar zenu wakuu
Ni jumapili nyingine tulivu nikiwa nimejilaza ghafla nimeshtuka naanza kumuwazia kijana mmoja ambaye alinitokea kama mwaka mmoja na nusu uliopita ni mfanyakazi katka wizara moja nyeti jirani na ofisini kwetu

kipindi nakutana nae alikuwa na matatizo na mke wake akaniaproch nikamwambia nina mtu.basi tukawa kama marafiki mawasiliano yakaendelea japo haikuwa kivile mara chache akinieleza matatizo na mkewe na bla bla me nikawa namshauri asiachane na mkewe avumilie yatapita.

mwishoni mwa dec.mwaka jana akanitext wametalikiana. nikamwambia its fine ni maisha yenu. ikaishia hapo.

Nikiwa katika wakati huu ambao nimeachana na mwanaume wangu km two weeks ago nilikutana nae sehemu hatukuwa tumepanga tukasalimiana na stor mbili tatu akaniomba tuonane tuongee
( of course nilikuwa bored siku hiyo tukatoka ilikuwa jioni) tukakaa sehem tukaongeaaa the guy anadai ananipenda sana anataka tuwe wote nikamwambia nitamjibu.

Ukweli ni kwamba yuko so lovely,mtanashati educated yani ni mwanaume ambaye kila mwanamke akimuona atatamani kuwa nae mo than my x lakini kitu kimoja tu tukiwasilia
na kwenye simu hana maneno mengi, yan ni salam asubuhi, jioni na usiku mwema

(sijui ndivyo alivyo au ni kutokana na mazingra ya kaz yake au ni nini)Ila tukionana ataongea yote the way ananifil na nini na nini anafunguka.

sijampa jibu lakini nawaza sana huu ukimya wake ntawezana nae, nini kilisababisha waachane na mke ndani ya ndoa ya miezi 6?

kukaa more that 10hrs bila kuwasiliana na mtu nayempenda nitaweza?
Ama nakurupuka?

Matusi Hayatanijenga
kama unao ushauri nisaidie nipo njia panda natamani niwe na mtu kuwa alon kunaumiza sana,
Umesema mkiwa wote anaongea tatizo liko wapi? Ukimkubali mda mwingi mtakuwa wote sasa shida iko wapi? Pia wanaume wengi sio waongeaji, kama wewe unastory unaazisha na mbeleni nae atajiongeza
 
Back
Top Bottom