alexander lukungu
Member
- Oct 2, 2016
- 35
- 20
Dude DR Silaa,ni mwana siasa,anaongea mawazo yake,kwakuwa saahizi hata angekuja nani aseme yanayotendekaKATIKA kitabu 'Tujisahihishe' kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1962 ukurasa wa pili, anaeleza dhana nzima kuhusu ukweli.
Anasema, “Ukweli una tabia moja nzuri sana. Haujali mkubwa wala mdogo, haujali adui au rafiki wote kwake ni sawa. Pia ukweli una tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa.
“Ukiona nataka kulipiga teke jiwe kwa kuwa nafikiri kuwa ni dongo au mpira, natumaini utanionya.
“Lakini nikilipuuza onyo lako kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nikalipiga teke, basi litanivunja dole, japo ningekuwa nani.
“Ukweli haupendi kupuuzwa puuzwa! Wakati mwingine mtu tunayempinga huwa ana makosa kweli, lakini hoja tunazozitoa ni za kinafsi na hazihusiani kabisa na hoja zake.
“Nikisema mbili na tatu ni sita nakosa. Lakini ni bora kunionyesha kwamba pengine nafikiri tunazidisha kumbe tunajumlisha.
“Ni kweli mbili mara tatu ni sita, lakini mbili na tatu ni tano, siyo sita.
“Lakini ukijaribu kuwashawishi wenzetu wakatae mawazo yangu na kukubali yako kwa kusema meno yangu ni machafu, au natoa kamasi daima, utakuwa unatumia hoja ambazo hazina maana.
“Huu ni mfano wa upuuzi, lakini mara nyingi hoja tunazotumia kuwashawishi watu wakatae mawazo ya wale tusiowapenda, au kukubali mawazo yetu, huwa hazihusiana kabisa na mambo tunayojadili,” anasema Mwalimu katika kitabu chake hicho.
Kwa kutumia angalizo la Mwl. Nyerere, baadhi ya watu badala ya kumpinga Mzee Slaa kwa kutumia nguvu za hoja, watakachofanya ni kuandika kejeli na matusi.
nchini tanzania,hakutaleta mabadiliko yoyote,kwani wameanza leo kutoa hoja zao nzito na nuri,linapokuja swala
la siasa inabaki siasa,hakuna mabadiliko,nimesema Dr Silaa,ni mwanaa siasa,kwasababu niliwahi kumshauri mimi kama personlity akiwa highly elevated in the political platiform,2010,nikamwambia wajitahidi wapiganie mabadiliko ya tume huru ya uchaguzi ndipo angeshinda urais,akapuuza,katika uchaguzi ule upinzani ukashindwa,KWA SASA NCHI
hii itakuwa kama wakati wa SUELEMANI katika israeli,watu walitaka wapunguziwe kongwa zito alilowabebesha Daudi babake ,lakini yeye alisema ,mimi nitaongeza zaidi kongwa,baba yangu aliwapiga kwa mijeredi,LAKINI MIMI NITAWAPIGA KWA NGE,KWA MAANA IMEANDIKWA KIUNO CHA BABA YANGU NI KINENE KULIKO KIDOLE CHANGU CHA MWISHO,
soma ripoti hii KATIKA 2NYAKATI 10:11-12,MAANA YAKE kwa siasa nzuri za kina DR Silaa,zi sizo za kivitendo,kwamba watu mnaowaamini kuongoza mapambano YA MABADILIKO unakuta nao ni wapiga dili kwa rangi nyingine,
Wapo waliojaliwa kuongea na kutetea wasio weza kuongea ingawa wanaumia,lakini wapo kimya(awesome muted)
soma ripoti hii katika provebs 31:8-9 wenye uwezo wa kufungua kinywa kuongea kwajili ya bubu(wasio na uwezo kuzungumza)hukumu kwa Mungu itakuwa kali sana,
nao kumbe ni wapiga dili,hakuna