Recent content by The Mig

  1. The Mig

    Dark days 17/03/20

    Tutalia tu hakuna namna, km ndiyo dawa ya kutuponyesha, acha tutoe machozi. [emoji120][emoji120]
  2. The Mig

    Nini maoni yako kuhusu vita ya Palestina na Israel? Bado unaamini Israel ina intelijensia kubwa Duniani?

    Sijui unataka kusemaje hapa. Hamas ndo jeshi pekee la wapalestina. Tena ni jeshi ambalo watu wake wamejitoa kizarendo dhidi ya sheria za Israel zinazoikataza Palestine kutomiliki jeshi lolote. Kumbukumbu ni kuwa Israel ya leo ni Taifa teule la umoja wa mataifa kwa azimio la 1945 wala si Taifa...
  3. The Mig

    Dark days 17/03/20

    Mbona "kagomea ARVs" [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndo madhara ya tunga insha/sentensi kumi kwa kutumia neno.... WAKATI
  4. The Mig

    Kwa tulipofikia mikutano ya siasa kwa nchi yetu haina tija zaidi ya kucharuana tu! Pigeni marufuku hii mikutano uchwara!

    Hiki ulichokiandika ndo kinapaswa kupigwa marufuku na kukemewa na wote wenye akili timamu, wapenda amani, haki, wajibu na maendeleo.
  5. The Mig

    Virus wanaodaiwa kumuua Membe waliondoka na viongozi wengi miaka miwili nyuma. Madaktari wawezeshwe wafanye utafiti, tusipuuze

    Chanjo tena boss? Hiyo COVID-19 na chanjo yake ni kulwa na doto. Fuatilia utanishukuru siku Moja.
  6. The Mig

    Mjue Yoabu - Jenerali Mkuu wa Mfalme Daudi, Katili na asiyeogopa chochote!

    Yawezekana tu. Mungu ni mwenye rehema sana. Km sivyo tungeshaangamizwa kitambo sana kwa maovu yetu mengi. Hata hivyo yoote yaliyopita, yaliyopo na yajayo yatafunuliwa yoote siku ya hukumu. Kila wazo na tendo, liwe jema au baya, yatawekwa wazi. Walioipokea Neema ya Bwana Yesu Kristo wataokolewa...
  7. The Mig

    Mungu aliyeumba Milkway(kilimia) galaxy na ulimwengu kwa ujumla ni mkuu sana

    Nadhani nami pia nahitaji elimu zaidi juu ya malimwengu (galaxies) 1. Tofauti ya universe, galaxy, constellation, star, some sort of those nebula and star dusts ni kipi na kipi siyo kipi. 2. Ni kweli Milky way Galaxy (njia ya maziwa ndiyo seven sisters constellation (kilimia)? 3. Our universe (...
  8. The Mig

    FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

    Yeah. Pa -jina lake la kwanza Ka-linalofuata
  9. The Mig

    Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

    Habari za hivi punde inadaiwa "Katangulia mbele za haki" Ngoja tusubiri uthibitisho wa wadau.
  10. The Mig

    Niliyo yaona katika safari yangu ya Cameroon

    Kila chochote kilicho na ubaya, kina uzuri ndani yake. Na kila kilicho kizuri sana kina ubaya pia. Hongera kwa ulichokiona na kujifunza huko Cameron. Mimi binafsi napenda mifumo huria. Mfano zogo kwenye daladala, ujuajijuaji, kudandia story nk. 'Hofu iko pande zote"
  11. The Mig

    EWURA Fanyeni Utafiti kwenye Vituo vya Mafuta, Wananchi tuaibiwa

    Pole sana mkuu. Hayo yapo sana. Mi huwa nahisi wauza nafuta wanazichezea pump kiasi kwamba hata wakaguzi wa vipimo huwa hawang'amui ama wanakula nao maana utakuta ukaguzi wameufanya jana na kuweka stika zao/ wakala wa vipimo lakini bado hakuna mabadiliko. Ina kera sana hii hali.
  12. The Mig

    Baada ya korosho, sasa zao la pamba limekosa wanunuzi nchini. Ni hujuma au ndio vita ya kiuchumi? Wanaogopa TRA kuwalundikia kodi na kuwafilisi?

    Mkuu nakubaliana na mawazo yako na nimeyapenda. Katika maelezo yako nimeuona moyo wako ambao ni wa upole sana na wa dhati kweli kweli. Itoshe kusema hivi hayo uliyoyasema ndiyo yaliyokuwa yanafanyika. Vijana wanapambana bhana si kwa kuandika mtandaoni km unavyowatuhumu. Vijana baadhi yao wana...
  13. The Mig

    Baada ya korosho, sasa zao la pamba limekosa wanunuzi nchini. Ni hujuma au ndio vita ya kiuchumi? Wanaogopa TRA kuwalundikia kodi na kuwafilisi?

    Haya mambo ni magumu sana. Nchi yetu imejipambanua kuwa ni ya mfumo huria ktk biashara n. k. But inaonekana misingi hii ya soko huria/upepari inaingiliwa kwa kasi na mfumo muungano/mchanganyo (mixed economy). Katika mfumo mchanganyo sharti serikali kuingilia biashara hasa kuipitia bei na...
  14. The Mig

    Wanawake stress nyingine tunazitafuta

    Real umeongea haswaaa. Kuchunguzana ni kwenye uchumba. Omba simu yake, soma sms zake, uliza ulikuwa unaongea na nani, jioni/usiku omba simu ya mchumba wako ili ujue nani anapiga mara nyingi hasa mida mibaya. Ila hapa nashauri usipokee simu zake ktk kipindi hiki cha uchumba (utaumizwa ukifanya...
  15. The Mig

    Nataka niifukie 9,200,000

    Jamaa pima mwenyewe lipi ambalo utalimudu kwa asilimia kuanzia 80%. Shughuri za kilimo zinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana. Kuna mambo ya mbolea, madawa, kupalilia na kuvuna. Yoote hayo yanahitaji taimingi. Ukikosea/kuchelewa kidogo tu ndo tayari inaweza pelekea hasara furani. Km...
Back
Top Bottom