Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Real umeongea haswaaa.

Kuchunguzana ni kwenye uchumba. Omba simu yake, soma sms zake, uliza ulikuwa unaongea na nani, jioni/usiku omba simu ya mchumba wako ili ujue nani anapiga mara nyingi hasa mida mibaya.
Ila hapa nashauri usipokee simu zake ktk kipindi hiki cha uchumba (utaumizwa ukifanya hivyo pasipo sababu ya msingi as unaweza kutana na sauti ya jinsia tofauti na asiongee kitu akakata simu) buts soma. Hii inasaidia kujengeana imani, husaidia kuwa serious ktk mahusiano. Ukiona mchumba mwenzako anakugomea ktk simu ujue ni dalili za kusaliti.
Hii inaitwa abiria chunga mzigo wako.

Kwenye ndoa kwa kweli kuchunguzana hakuleti Afya. Ila km kuna dalili za dharau na mauzauza waweza fanya la tofauti.

Kumbuka kumchunguza mwenza (mke/mme) ni pale tu unapomtafutia sababu za kuachana naye.

Real mke wangu siwezi mchunguza eti simu. Ikitokea hivyo kifuatacho no ndoa.



Madam HONGERA umewasilisha vitu adimu
 
Swali ni je hilo hata wanaume wanaweza kufanya? Yaani mke simu inaingia anaenda kuongelea chumbani halafu mume kakaa tu hana hata wasiwasi na wala haulizi ni nani aliyepiga simu?

Wanawake tunaweza ila na wanaume wanaweza? Na wao wakiweza basi hakika ndoa itakuwa tamu zaidi ila siyo hawa wanaume wa kiafrika kila kitu utasikia "mimi ndo mwanaume humu ndani na mimi ndo niliyekuoa" ishiii kwahiyo?
Yaani wewe kila kitu Ni kulinganisha na wanaume.
Nahisi hata hedhi huwa unajiuliza Kama na wanaume wanapata.
Play your part na mwanaume atafanya yake.
Hata nikikuchunga namna gani utatiwa tu.!!
Mwanaume nianza kukagua simu ya mke wangu nina shida gani wakati Nina wanawake wengi!?
 
Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...


Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
embu tuonane tu kwakwel maana hizi tabia zetu zinafanana,me usiku huu nimetoka kupatanishwa na baby kwaajili ya ishu kama hii
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Asante Sana Dada yangu Kipenzi kuwakumbusha
 
Kuna mmoja alisikia nimepigiwa simu. Na aliyenipigia alikuwa ni binti mmoja mfanyakazi mwenzangu. Basi bwana kusikia yale mazungumzo mwenzangu akasusa kula kutwa zima.
 
Yaani wewe kila kitu Ni kulinganisha na wanaume.
Nahisi hata hedhi huwa unajiuliza Kama na wanaume wanapata.
Play your part na mwanaume atafanya yake.
Hata nikikuchunga namna gani utatiwa tu.!!
Mwanaume nianza kukagua simu ya mke wangu nina shida gani wakati Nina wanawake wengi!?
Hivi wanaume mbona kila kitu mnasema tunajilinganisha na nyie? Kwahiyo mnataka wake zenu wasifanye makosa ila nyie mfanye makosa si ndiyo? Naona ndo kujitofautisha mnakotaka huko
 
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Huyo ndo mwanamke aliyepikika akaiva
SIO MWANAUME UNAENDA KUANGALIA MECHI SAA 4 USIKU UEFA UNASKIA "BABA NJELEKELA TUNAENDA WOTE LAZIMA".
 
Back
Top Bottom