Jamaa pima mwenyewe lipi ambalo utalimudu kwa asilimia kuanzia 80%.
Shughuri za kilimo zinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana. Kuna mambo ya mbolea, madawa, kupalilia na kuvuna. Yoote hayo yanahitaji taimingi. Ukikosea/kuchelewa kidogo tu ndo tayari inaweza pelekea hasara furani.
Km umeshawahi kulima hapo awali na kufanikiwa basi unaweza kuanzia hapo.
Kuwekeza kwenye Kilimo ni poa sana but zingatia hayo hapo juu.
Wadau wamekushauri juu ya uchuuzi.
Nami pia naonelea uanzie hapo. Tafuta fremu chagua bidhaa yako unayoona inahitajika ama utaweza kuiuza vizuri kinyume na majira/rivals wako.
Tafuta hiyo bidhaa mahali inapopatikana kwa wingi na kwa ubora. Pia half of your servings ndiyo uielekeze huko kwenye trading. Itakayobakia unaextend kwa biashara nyingine ya tofauti.
Hakikisha unajua legal procedure zote za kuformalize biashara unayoiwazia kabla hujaanza hatua moja. Hii itakusaidi kutogo bana na wasimamizi wa kanuni na taratibu za biashara ambapo pia inaweza kugharimu uhai wa biashara yako.
Kwa mawazo yangu yenye makengeza naomba kuwasilisha.

