Dah! Kweli Dunia inazunguka mimi nilizani Mtama, mahindi singida zaidi ya manyara? anyways ni fursa nzuri. singida to manyara ni Km ngapi? diference ya bei ni kubwa...
It's with great sadness to learn the death of a true son of Africa. He did a lot in his country Zimbabwe and Africa in general never less he proved to be human by blood and fresh as he was neither a programmed robot nor an Angel. R.I.P a Zimbabwe’s founding father and former President, Cde...
Shida ni katiba ya Young Africans, TFF walikaa na wadau (Team), wana katiba za vilabu? kwani bila vilabu hakuna TFF unless waanzishe timu zao other wise wangewaita Young Africans waitishe Mkutano mkuu kubadilishe kitu hicho full stop. Kwenda kinyume na katiba ni kuvunja katiba bila kujali...
Kichwa cha habari hapo juu cha husika. naomba yeyote mwenye hufahamu wa sehemu ninapoweza kupata au mwenye motherboard tajwa hapo juu, tafadhari naomba msaada wako.
It has never been a choice and it will never be. People fought but only Gods knows they could not win because technology know-how the Africans/blacks had in those days, they were no ways out to resist otherwise you tell me they sent themselves to Europe and America and asked for that. The same...
Huwa napenda sana English ya Kenya na nilikuwa nafahamu kila mtu Kenya anaweza kuongea fluently compared na huku kwetu bongo lakini all is good napenda sana wanavoongea especially their pronunciations.
Risasi ambazo zitaweza kufuta mtu aliyerengwa ata kama atakuwa kwenye mwendo kasi au kukimbia upande mwingine, yani hata kama kuna watu wengine on the way inawakwepa moving to a targeted person. Hiyo risasi inakuwa na jina lake? unaiyambia mfate kaka jambazi wengine your safe? itakuwa nzuri...
Hivi thread nyingine zina husisha akili kweli? Katiba ya Chadema na Makonda wapi na wapi... Makonda akionyesha kadi ya Chadema ina relate vipi na kesi iliyopo mahakamani?
Labda ungeanza kuelezea kesi iliyopo mahakamani inahusu nini Mkuu, labda mimi ndiyo mgumu kuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.