Recent content by the happy one

  1. the happy one

    Ni kweli mti jamii ya uzazi wa mpango ni mbaya kupndwa maeneo ya nyumbani?

    Nimekuwa nikisikia sifa mbaya kuhusu mti jamii na mpango kuwa unapandwa maeneo ya nyumbani huleta mtafaruko ndan ya familia na pia kusababisha umauti kwa wanafamilia, je kuna ukweli wowote?
  2. the happy one

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sijui maana ya under na over kwenye bets. Naombeni msaada wenu
  3. the happy one

    Natafuta soko la mayai ya kwale

    Nina mayai mengi, tray Tsh 25000/=
  4. the happy one

    Natafuta soko la mayai ya kwale.

    Mimi niko kahama shinyanga, ni mfugaji wa kwale, natafuta soko la mayai ya kwale
  5. the happy one

    Natafuta soko la mayai ya kwale

    Niko kahama shinyanga, ni mjasiliamali ninaeshughulika na ufugaji wa kwale. Wapi nitapata soko la mayai
  6. the happy one

    Slaa na Lipumba walikuwa ni vibaraka

    Samahani wakuu, nielewesheni hizo hela za libya, Memb kazipataje?
  7. the happy one

    Picha: Viongozi wa CCM wakiwa na TWAWEZA mda mfupi kabla ya kutoa utafiti wao

    Kwanini wahoji watu 1800 wakati wapiga kura ni zaidi ya 20m
  8. the happy one

    Tuwe tayari kuahirisha mabadiliko kuliko kukubali hadaa!

    Angalia mifano ya nch zilizofanya mabadiliko, viongozi wake walitoka chama tawala
  9. the happy one

    Magic papers na namna kura zinavyoibwa

    Kabla ya kutick inabidi uikuje kwanza uone
  10. the happy one

    Kwa haya CCM wanaipaisha UKAWA bila kujua

    Mtujulishe mlioko huko, si unajua TANESCCM?
  11. the happy one

    Line za wakala zinapatikana, karibuni

    Samahani wadau, inaweza kutumia line ya wakala kupiga simu kawaida
Back
Top Bottom