Natafuta soko la mayai ya kwale.

mkuu hilo soko umelichelewa sana limeshakufa tayari unaweza tumia na familia
 
Hahaha mdau ndio anazinduka saa hvi hela zimeshaisha. Pole sanaa. Kuna mshkaj alianza wafanya mboga mmoja mmoja wakaisha wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom