dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Unakuta binti mrembo wa kuweka ndani lakini kinguo alichovaa hakijulikani mbele wapi,nyuma wapi.
Ukimwona kabla hajaongea unasema mke si ndiyo huyu,subiri afungue domo lake maneno ya ajabu na mawazo yasiyo na mwelekeo utayasikia.
Ameolewa lakini kutwa kiguu na njia mitaani.
Badilikeni jamani
Ukimwona kabla hajaongea unasema mke si ndiyo huyu,subiri afungue domo lake maneno ya ajabu na mawazo yasiyo na mwelekeo utayasikia.
Ameolewa lakini kutwa kiguu na njia mitaani.
Badilikeni jamani