Lkn pamoja na yoote sasa hivi hana nafasi tena cuf/ukawa
Kwa mwana Lumumba yoyote yule akili zake ni za kushikiwa hivyo mkuu ichukulie poa tu hiyo
Hao wengi si wa Lumumba bali ni wale vijana wa Membe ujue huyo Membe alitengeneza mtandao mkubwa sana wa kuhakikisha kuwa Lowasa haingii ikulu hata kwa mbinu gani, sasa hicho kikundi chake ndicho huwa busy kupambana na watu humu JF.
Viongozi hao wawili naamini walikuwa wanatumika kuvidhoofisha vyama vya CHADEMA na CUF ndio maana kila mwaka uchaguzi wapinzani walikuwa wanaishia 20% lkn leo hawapo CUF imepata zaidi ya wabunge 20+ na CHADEMA zaidi ya 36+.
Naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.
hao ndio vigingi vya vyama. Wametoa uhai wao kwa ajili ya wanyuma yao. Big up themviongozi hao wawili naamini walikuwa wanatumika kuvidhoofisha vyama vya chadema na cuf ndio maana kila mwaka uchaguzi wapinzani walikuwa wanaishia 20% lkn leo hawapo cuf imepata zaidi ya wabunge 20+ na chadema zaidi ya 36+.
Naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.
Weka ushahidi .mada yako haina hata maana na lipumba kurudi cuf seifu kamthibitishia anavunja ukawa
Anavunja kivipi? Acha uzushi kama si ukawa Safari hii seif hakuwa na nguvu Zanzibar
Mimi binafsi namsifu sana seif Sharif Ahmad maana jamaa huwa ana akili ya ziada ya kumjua mzandiki
Mapshe na apashike. Hajaona CUF ilivyopiga Unguja kwa Surport ya Lowasa, maana Jimbo aliloongoza Lowasa hadi Maalim akatusua mpaka ZEC ikashituka khe Maalim katoboa mbaya Ungujua yote hiyo sababu ya Lowasa. Unguja kuna wabara wengi sana. Mnaombea na haitatokea. Maalim mwenyewe anajua ndio maana anakomaa anajua Uchaguzi ukirudiwa hana chake tena.