Recent content by The Hamer

  1. T

    Natafuta marafiki

    Karibu Pm mrembo..... I'm Introvert too..
  2. T

    Katika hili baby mamas mnafeli

    Hospitali zote nowdays wanalipa kwa control number..... Akikuambia mtoto anaumwa mwambie aende hospitali kisha malipo yote utafanya kwa control number atakazokutumia✅
  3. T

    "Smooth Criminal" | Michael Jackson's Drummer Jonathan Moffett Performs

    Na hii ndiyo maana ya muziki unaoishi.. MJ anaongoza kuingiza pesa kwa wasanii walio marehemu duniani...
  4. T

    Kuna siri gani ya mume kutangulia kufa?

    Ndiyo maana mwanaume anatakiwa aoe mwanamke alomzidi miaka kuanzia 5..
  5. T

    Hatua za kisheria ili kumrudisha mtoto shuleni aliyesimamishwa masomo kwa utashi wa waalimu na si utashi wa Sheria za shule!

    Swali ni kwamba tuhuma alizonazo mwanao na hao wengine ni za kweli ama uongo? Kama ni za kweli, utasemaje ni utashi wa walimu? Inavyoonekana huyo mtoto amejiingiza kwenye makundi, na perfomance yake darasani ni mbovu sana. Walimu huwa hawawafukuzi wanafunzi ovyo ovyo, ukiona mwanafunzi...
  6. T

    Naona kama kuna upepo wa wanaume kuacha kutongoza wanawake unakuja taratibu

    Siku hizi wanaziomba wao wenyewe mbwa hawa... Cha msingi ukipewa piga mpaka akojoe damu, popote nyege zimshikapo wa kwanza kukufikiria awe ni wewe manina hawa.
  7. T

    Mfichaficha maradhi kilio kitamfichua

    Picha ingesaidia kupatiwa ushauri zaidi. Kupata severe dislocation na utegemee mifupa irudi km ilivyokuwa mwanzo ni ndoto.
  8. T

    Hivi kwanini wanaume wengi wana lips nzuri kuliko wanawake?

    So mlitaka mpewe za chini nzuri na za juu nzuri? Then sisi tuwe na lips za juu tuu ambazo ni mbaya pia? U cant be serious
  9. T

    Mdau mkubwa katika masuala ya Teknolojia, ndugu Chief Mkwawa asema simu za iPhone si chochote mbele ya Itel, Tecno, Xiaomi, Samsung

    Ni kweli iphone hazina quality nzur kiiivo km hizi simu zingne, they are too rigid,conservative....... Yan ios haioni mbali kwa android...... Kinachoipa backup kubwa iphone ni security system yake tuu
  10. T

    Swali kwenu GT; atakayepatia zawadi itatolewa.

    1. Seven Billion Billion Billion Atoms 2. Pack my box with five dozen liquor jugs 3. Pangram [rand.old]
  11. T

    Ushauri wenu tafadhali wenye uzoefu kwenye mahusiano

    Bdo mapema san..... Subir jua lichwee ndo umtafute tena
  12. T

    Wanaume wenye umri chini ya miaka 28 hawafai kimapenzi

    Tatzo la watu km nyie mnataka kujifanya maprofesa wakat una low score up there........ Kuna vitu ni very subjective san..... Huwez kusema vjana wote wenye <28yrs hawana kitu......... Kwa research ipiii, what was your sample size and which type of research did u do? Kakojoleshwe ulale hukoo
  13. T

    Je, ni kweli kipimo cha Unigold huonesha maambukizi ya HIV baada ya siku 3!?

    Tunaanza na sd bioline sabab iko more sensitive than specific...... Kuwa sensitive inamaana inaweza kudetect hata magonjwa mengne mbal na HIV..... Mfano ukiwa na baadhi ya venereal diseases sd bioline itareact positive...... Hii huchukua dakika 3 mpk 10...... Baad ya hapo majibu mengne iletayo...
Back
Top Bottom