Nampongeza kwa uvumilivu wake, maana hali ingekuwa tete katika nchi hii. Kukosoa kunakubalika lakini lugha inayoashiria kumvunjia mtu heshima yake yake kwa kwa kweli haifai.
Nimekuelewa mkuu. Ila hoja yangu ni kwamba kwa jinsi ninavyoelewa utaratibu wa Serikali ni kwa kila Wizara kutumia Bajeti iliyopitishwa na Bunge katika kutekeleza wajibu wake. Na kwamba kumuomba subordinate ni lugha ya heshima lakini kiukweli kabisa Serikalini maana yake ni agizo. Ikitokea...
Ndugu yangu umeongea jambo zuri sana, ila tu pengine ungekumbuka kwamba ameandika jinsi ilivyo ngumu kumbadilisha fisadi kuwa mtu mwema, mlevi kuwa mtakatifu na mvuta sigara kutovuta sigara ndivyo ilivyo ngumu kumbadilisha yeye na Nape kukubali kubadilika kwa kuwatumikia wananchi kwa kuwa ndiyo...
He hii kali sasa, hivi ni kweli waliopita hawakufanya kitu? Jamani mwogopeni MUNGU. Itoshe tu kwamba kuna juhudi zinaendelea chini yake. Unataka kusema mabwawa ya kuzalisha umeme ya Mtera, Kidatu, Kihansi n.k yamejengwa na kuendelezwa kipindi cha Kikwete! Njia zote kuu za kusafirisha umeme...
Kuwa na kesi mahakamani hakumaanishi mtu huyo haruhusiwi kushiriki maendeleo ya taifa kama mtu huru. Sheria ya Tanzania inatambua haki hiyo na ndiyo maana mtuhumiwa yeyote anahesabiwa hana kosa mpaka mahakama itakapotoa uamuzi kama ana kosa. Kuhusu spika wetu, ni dada yetu na wengine mama yetu...
Mheshimiwa Nape,
Kwanza katika bajeti ya Serikali 'yako' na JK naomba ufafanue kinagaubaga ahadi zifuatazo kama zote zimeingizwa kwa mwaka huu wa fedha kabla hujaongelea wanachokisema wapinzani,
Ahadi za JK
1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega...
Unashangaa nini hapa ndugu Mtanzania mwenzangu, hivi kweli kwa uelewa wako Rais azindue mpango kukiwa na timu yake ya wataalamu waliobobea halafu mpango huo ndiyo utolewe maoni?
Nilifikiri kiustaarabu ni kwanza ujadiliwe, uboreshwe na hatimaye mkuu wa nchi asaini ili kuanzisha rasmi kutumika...
Swala siyo kukemea maovu, hoja ni uliye na mamlaka na wewe kupiga kelele kama vile umesahau kwamba ukiwa makini wewe katika kuwajibika kwa mujibu wa sheria unaweza kuleta mabadiliko makubwa kuliko hawa wasio na jeshi, wasioweza kuunda chombo chochote kutekeleza wanachokitaka. Na kuhusu viongozi...
Sioni cha ajabu kwa yeye kusema hayo kama angekuwa mtu wa kawaida kama sie wengine, lakini kiongozi mkubwa wa nchi mwenye vyomho vyote nayeye kuongea kwa kulalamika inasikitisha. Lakini wewe, kwani kwa kuwa Osama alikuwa Shehe na alifanya aliyoyafanya basi mashehe ni wahalifu? Unapo jaribu...
Lakini hawa si tunawachukulia kwamba ni watu wazima kwa kuwa kwa mfumo wa elimu ya Tanzania watakuwa wameshafikisha miaka 18 na zaidi hivyo wanaweza kujiamulia mambo yao wenyewe? Mi nafikili itakuwa siyo kiherehere chao bali ni utashi. Mwenye masikio na asikie yale yasemwayo na wajoli wa BWANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.