WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Hawa watu Nape anawatoa wapi ?? milembe au??
Yaaan watu hajui hata taratibu za kutunga sheria! hata elimu ya urai ya dalasa la tano hawajapata?
Ulishaona wapi mada ikapelekwa bungeni kujadiliwa imsha sihinwa na Rais, hiyo inakuwa sio mada/rasimu tena inakuwa ni sheria.
Kiutaratibu inatakiwa ijadiriwe bungeni, ikishapitishwa na bunge ndio inahisiniwa na rais kuwa sheria/kanuni.
Lkn...Rais na wasaidiz wake ...mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh!
Tutafika kweli..? kwa mwendo huu wa kuvunja vunja kanuni na taratibu??
This is shame!