JK is the best president

That means, kama aliyakuta hayo matatizo so na yeye hayaache bila kudeal nayo? Tupe data, aliyakuata kwa kiwango gani? mahitaji yalikua kiasi gani (rate of population increases reflected in the demand of socio-economic infrustructures)Kama umekula gamaba na kunywa damu ya magamba utaendelea hivyohivyo. JMK is the worst president that this country ever had. QUOTE=FaizaFoxy;2146221]Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.[/QUOTE]
 
MUNGU tusimfanyishe OVERTIME kusaidia kutatua yale ambayo katupatia uwezo wa kutatua wenyewe!!!! Mlimchagua wenyewe; issue ni kutorudia kosa next time ukichagua kiongozi wako

2005 watanzania walimchagua wakizani wamepata mkombozi kumbe wameingizwa mkenge, mimi sijawahi kumpigia kura huyu Kilaza. 2010 Watanzania hawakumchagua bali alichaguliwa na NEC inayoongozwa na Tendwa na Mafisadi wengine. Rais wa Ukweli ni Dr.Slaa sio Kikwete
 
That means, kama aliyakuta hayo matatizo so na yeye hayaache bila kudeal nayo? Tupe data, aliyakuata kwa kiwango gani? mahitaji yalikua kiasi gani (rate of population increases reflected in the demand of socio-economic infrustructures)Kama umekula gamaba na kunywa damu ya magamba utaendelea hivyohivyo. JMK is the worst president that this country ever had. QUOTE=FaizaFoxy;2146221]Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.
[/QUOTE]

Hapo Kwenye RED umenena mkuu huo sio uongo
 
Mkuu hii ni management ya ajabu sana, its less predictable and less reliable, services zimekua kama tiba ya mganga wa kienyeji, hazitabiliki!
 
Ni mtazamo wa kila mmoja: na mwenye kufikiria kwa kina lazima ataungana na NOT ENOUGH.
 
Sasa hivi tuna akiba ya kununulia vyote tunavyohitaji kutoka nje kwa miezi sita ijayo (ni akiba kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki) aliwachiwa ya kutosha mwezi mmoja kama sikosei. Chakula tunacho maghalani hilo pekee ni jambo jema kabisa alilofanya JMK, unakumbuka njaa ya 2005 aliyowachiwa? Au umesha sahau? Akasema atafanya kila njia "hafi mtu kwa njaa". Leo hata kwa hayo bdo ni mbaya tu?

Angekuwa ni mume wako na anayafanya kwa ajili ya familia yenu, sina tatizo. Lakini Taifa siyo kama unaongoza familia, humo kwenye red yapigie mistari. Jamaa ni msanii unamwamini vipi? Serikali sasa hivi imefilisika haina pesa hazina-uliza utaambiwa na walioko huko. Tutakufa kama nzige. Unaona Membe anavyokomalia pesa za RADAR? Hakuna kitu hazina.

Ngeleja alikwisha tamka siku moja kuwa ' ...sasa mgao wa umeme utakuwa historia..." Leo vipi? Walisema watarekebisha sheria ya madini ili migodi ianze kulipa kodi, je wanalipa? Nape alitoa siku 90 RACHEL wajivue gamba, wamejivua?

Kwa kifupi Jamaa na team yake ni wasanii kazi kutembea ng'ambo kama Vasco da Gama na bakuli kama "Matonya"
 
kweli kabisa, he is the best than mzee wa kiraracha. he is the best handcapped husband in the world
 
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.
Umeshatimiza ulichotumwa na nape/msekwa/mkama,subiri malipo
 
Hivi vasco dagama leo yupo wapi cause haeleweki,hata akiwa nchini huwa vijisafari vya ndani havimpiti, tena huenda hata sehemu ambazo hata ugunduzi hawezi kufanya.hana lolote,kashindwa kazi cause ameshatufrustrate kabisa hapa.
 
ndio maana wanasema mtu mwenye akili ni yule anayefikiri atleast nini kitatokea masaa mawili yajayo, sasa nyinyi mlimpa mtu kura bila kumjua na bado mkakubali achakachue mara ya pili! Hakuna lingine zaidi ya hapo mbali na kuubeba mzigo wa ujinga wetu wenyewe!
2005 watanzania walimchagua wakizani wamepata mkombozi kumbe wameingizwa mkenge, mimi sijawahi kumpigia kura huyu Kilaza. 2010 Watanzania hawakumchagua bali alichaguliwa na NEC inayoongozwa na Tendwa na Mafisadi wengine. Rais wa Ukweli ni Dr.Slaa sio Kikwete
 
Aliyakuta lakini sio kama alivyoyakuta yeye, sasa yamezidi maradufu yake na Ufisadi umezidi maradufu yake bei ya chumvi na sukari alivyoikuta nitofauti alivyoikuta sasa imepanda kwa 100% au zaidi ya hapo. Kwa ufupi Kikwete ni Janga la taifa kwa watanzania na tukiendelea nae mpaka 2015 tutakuja kununua 1KG ya sukari kwa Tsh 5000. Mtawala mwenye kuleta mzaha kwenye maisha ya watanzania, kazi kuchekacheka kama ******** na kusafiri kama Mtalii au Christopher Columbus kama vile anatafuta nchi nyingine aitawale. Kikwete hafai kabisa kuwa hata mjumbe wa nyumba 10. Ni janga la kitaifa kuwa na mtawala kama Kikwete
Hata ikiwa 10,000 kilo moja, mradi ipo na uwezo wa kununulia upo, tatizo ni nini? Ikiwa haipo na uwezo haupo ndio tatizo. Figures zisikustuwe sana. Kwani ITALY ni lira ngapi kilo ya sukari? Au Japan ni yen ngapi?
 
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.
He hii kali sasa, hivi ni kweli waliopita hawakufanya kitu? Jamani mwogopeni MUNGU. Itoshe tu kwamba kuna juhudi zinaendelea chini yake. Unataka kusema mabwawa ya kuzalisha umeme ya Mtera, Kidatu, Kihansi n.k yamejengwa na kuendelezwa kipindi cha Kikwete! Njia zote kuu za kusafirisha umeme zimejengwa kipindi cha Kikwete mpaka useme walimwacha kiza totoro!
 
Matatizo ya umeme na maji JMK kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni JMK ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.

Mi naona mzee wa pwani(JK) anafaa kuwa mpishi wa mabaharia tu ..akawachekeechekee huko halafu wamnanihii..! Uchovu alionao Kikwete katika uongozi hauelezeki kwa maneno!
 
Sasa hivi tuna akiba ya kununulia vyote tunavyohitaji kutoka nje kwa miezi sita ijayo (ni akiba kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki) aliwachiwa ya kutosha mwezi mmoja kama sikosei. Chakula tunacho maghalani hilo pekee ni jambo jema kabisa alilofanya JMK, unakumbuka njaa ya 2005 aliyowachiwa? Au umesha sahau? Akasema atafanya kila njia "hafi mtu kwa njaa". Leo hata kwa hayo bdo ni mbaya tu?

faiza foxyfoxy
 
matatizo ya umeme na maji jmk kayakuta yako serious na ukweli usiopingika ni jmk ambae anayafanyia utatuzi wa uhakika. Tumeona na tunaendelea kuona juhudi anazofanya kuhusu umeme. Hao wote wa kabla yake walifanya nini zaidi ya kumwachia kiza totoroo.

hukuwepo nchi hii wewe na ndo maana hujui unachoongea
 
Sasa hivi tuna akiba ya kununulia vyote tunavyohitaji kutoka nje kwa miezi sita ijayo (ni akiba kubwa kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki) aliwachiwa ya kutosha mwezi mmoja kama sikosei. Chakula tunacho maghalani hilo pekee ni jambo jema kabisa alilofanya JMK, unakumbuka njaa ya 2005 aliyowachiwa? Au umesha sahau? Akasema atafanya kila njia "hafi mtu kwa njaa". Leo hata kwa hayo bdo ni mbaya tu?

Huyu FF anaweza kuwa ni salma kikwete in disguise! Huu ni mwendelezo wa kampeni za nyumba kwa nyumba, shuka kwa shuka.
 
Hata ikiwa 10,000 kilo moja, mradi ipo na uwezo wa kununulia upo, tatizo ni nini? Ikiwa haipo na uwezo haupo ndio tatizo. Figures zisikustuwe sana. Kwani ITALY ni lira ngapi kilo ya sukari? Au Japan ni yen ngapi?
china kilo ya sukari leo ni yen 4 ambayo ni sawa na tsh 920, bia moja ni yen 2 ambayo sawa na tsh 460, lakini hata hivyo sina hamu ya kuendelea kureply kwa maana huwa unanichefua na kunipandisha hasira kwa miutumbo yako unayopost humu, na niliwahi kufungiwa kwa ajili yako
 
Back
Top Bottom