Traore alimwambia rais wakongo kuwa naomb nilipe mm nikuuzie siraha nzito tuone kama hao m23 watabaki au lete askari wako niwape mafunzo akakataa kitendo cha kumpa dhamana mmarekani ndicho kimetengenezwa anaigia mkataba na wewe anapotumia siraa zake atachukua rasilimali za madini kiasi gani...
Umeme uliopo katika gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa kusini mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu mkubwa wa umeme.
Asante kwa elimu mm nmefanyiwa hyo huduma na teyar simu yangu inasoma lain mbili niliweka e sim kwa tigo tu lkn ile fomu nliyopewa nimesahau je kuna madhara yoyote yanaweza tokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.