Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,380
Hongera mkuu napenda watu walionyooka kama wewe, deal itiki 🤝0718658747 piga tujadili
Hongera mkuu napenda watu walionyooka kama wewe, deal itiki 🤝0718658747 piga tujadili
Nitafute mwambaKwasasa nina oda za kuuza korosho nyeupe, wateja ni wa uhakika.
Usalama wa pesa zako ni kuwa wewe ndo utahusika kwanzia kununua hadi kuuza ila tutakuwa pamoja kwenye kila hatua.
Faida kwangu nitapata gawio la asilimia hamsini ya faida itayokuwa imepatikana baada ya kutoa matumizi yote, pia nitakuwa nimewatunza wateja wangu. Nawe utapata faida ya asilimia hamsini pia utakuwa umepata connection ya wateja na pia utakuwa umepata ujuzi wa biashara. Korosho bei nayochukulia ni elfu 16 kwa kilo oda niliyonayo ni 1.3 tons. Tunaweza anza na kilo 100 tu kwa safari ya kwanza.
Bidhaa ninazouza ni nyingi sio mazao tu.
Je una mpango wa biashara ulio wazi na wenye kueleweka, kamba waweza share nasi hapa jukwaani?Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
Yaani unaweza kufikiri utapewa wateja kumbe wewe ndio mteja mwenyewe. Kwanini asiwaunganishe hao wateja wake na huko wanapouza mzigo halafu akala commision.!!😂 Inafurahisha na kusikitisha kwa wakati mmoja
Unekuwa unaaminika na wateja wangekulipa in advance ila kwa sababau hawakuamini ndio maana umekos mtajo.Mkuu biashara ni zaidi ya mtaji wa pesa, pesa ingekuwa kila kitu basi wafanyabiashara wote tungekuwa matajiri sana. Pesa pekee haitoshi kufanikisha biashara, hujui ni gharama gani nimetumia hadi kuwapata hao wateja, hujui ni kwa namna gani nimeweza kuaminika na hao wateja. Hujui ni kwa namna gani nimetafuta information kuhusiana na upatikanaji wa bidhaa. Hujui ni kiasi gani nimewekeza elimu kuhusu biashara husika.
Kweli nyie wapigaji hamkosi mbinu za kuliza watu. Juzi mlitupiga na LBL,. Leo unataka utupige na wateja feki wako.Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.
Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.
Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.
Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
Mkuu amini kila unachokipanda utakivuna tu, nikushauri usipende kuhukumu bila kuwa na uhakika maana kwa kipimo hicho hicho nawe utavuna. Kinachonitofautisha mimi na wewe ni uwezo wa mind kuchanganua mambo mimi niliona mlango ila wewe umeona ukuta, uko sawa.Kweli nyie wapigaji hamkosi mbinu za kuliza watu. Juzi mlitupiga na LBL,. Leo unataka utupige na wateja feki wako.
Bei ya kuuza?Kwasasa nina oda za kuuza korosho nyeupe, wateja ni wa uhakika.
Usalama wa pesa zako ni kuwa wewe ndo utahusika kwanzia kununua hadi kuuza ila tutakuwa pamoja kwenye kila hatua.
Faida kwangu nitapata gawio la asilimia hamsini ya faida itayokuwa imepatikana baada ya kutoa matumizi yote, pia nitakuwa nimewatunza wateja wangu. Nawe utapata faida ya asilimia hamsini pia utakuwa umepata connection ya wateja na pia utakuwa umepata ujuzi wa biashara. Korosho bei nayochukulia ni elfu 16 kwa kilo oda niliyonayo ni 1.3 tons. Tunaweza anza na kilo 100 tu kwa safari ya kwanza.
Bidhaa ninazouza ni nyingi sio mazao tu.
Mungu ni mwema, mafanikio yapo na nitaleta mrejesho siku za mbeleni.Vipi mrejesho mkuu ulifanikiwa?
Kwenye high risk ndo kwenye high gain,Wakuu amani na iwe nanyi. Nahitaji mtu wa kushirikiana naye katika biashara. Awe na mtaji wa fedha kwa ajili ya kununulia bidhaa mimi ninao wateja na connection ya kuupata mzigo. Mahali pa kuupata mzigo ni popote pale ndani ya Tanzania.
Kwanini natafuta partner? Sababu ni kuwa nimeyumba mtaji sina kwa sasa ila nina oda za wateja na wanahitaji mzigo.
Tutazunguka na wewe mwenye pesa ndio utanunua mzigo mwenyewe na tutakutana na mnunuzi na wewe ndo utapokea pesa yako, utahusika na pesa zako mwenyewe na tutaandikishana kisheria.
Faida: utapata kipato kama faida, utaweza kujifunza biashara kwa vitendo, utapata connection na wateja wa nje ya nchi, ni biashara yenye risk ndogo kulingana na mtindo ninao ufanya (yaani tunachukua mzigo baada ya kupata oda), pia ni cash sales no credit sale.
Itoshe kusema hujawahi kufanya biashara na hujui unachokisema, hiyo attitude ya kiburi uliyonayo si sahihi kama kweli umedhamiria kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio. Ukiwa na mtazamo huo utamdharau hata mteja wako.Yaani hapo ni mwenye mtaji ndiyo mwenye kazi,yaani mtu ana mtaji wake kwanini asianzishe biashara yake mwenyewe? Hawo wateja unaodai wako tu wanakusubiri wewe upate mtaji ili waje wanunue kwako?