Recent content by The Eric

  1. The Eric

    Boma linauzwa Mbezi Msakuzi

    Msakuzi sehemu gani unafika mwisho wa bsjaji au
  2. The Eric

    Hotel Manager Meliá at Meliá Hotels International June 2025

    Madoido mengiii wakati meneja kashapatika hapo hapo melia....
  3. The Eric

    Natafuta msimamizi wa shughuli zote za shamba

    Kwa nini atokee mikoa hiyo mzee, kuna kijana katokea Tanga usambaani huko milimani anapiga kazi sana. Anaweza tokea huko na kazi asipige sura sio roho.
  4. The Eric

    Wataalamu wa football betting

    Huwa zinachana mkuu ila mara nyingi zinatoa
  5. The Eric

    Naomba nafasi ya kazi

    Sales upande upi
  6. The Eric

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Sawa mkuu madalali wengi na wamiliki wengi wa viwanja shule yetu ndogo sana mkuu, mambo yetu yapo kienyeji sana, unprofessional sana mkuu, pole ndugu msomi. Maeneo saivi na mji unajengeka panakuwa center sasa toka kwenye uswahili, dar pamepanuka ivyo uswahili unaenda kuisha. Mkuu kuhusu bei ya...
  7. The Eric

    House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Master bed 60K kipo Nyebulu chanika
  8. The Eric

    House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Kingine hiki ni laki moja 100k mara miezi 3, kipo chanika nguvukazi
  9. The Eric

    House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Hichi hapa chumba master na sebule kinataka 80K, mita yako unajitegemea.... Kipo chanika taliani...daresalaam. 0683042776
  10. The Eric

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Daah yaani hapa umemaliza kila kitu mkuu. Labda awe hana mpango wa kununua eneo Tabata kwa swai.
Back
Top Bottom