Kwa nini atokee mikoa hiyo mzee, kuna kijana katokea Tanga usambaani huko milimani anapiga kazi sana.
Anaweza tokea huko na kazi asipige sura sio roho.
Sawa mkuu madalali wengi na wamiliki wengi wa viwanja shule yetu ndogo sana mkuu, mambo yetu yapo kienyeji sana, unprofessional sana mkuu, pole ndugu msomi.
Maeneo saivi na mji unajengeka panakuwa center sasa toka kwenye uswahili, dar pamepanuka ivyo uswahili unaenda kuisha.
Mkuu kuhusu bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.