Recent content by The Eric

  1. The Eric

    JamiiForums Tanzania Boma linauzwa Mbezi Msakuzi

    Msakuzi sehemu gani unafika mwisho wa bsjaji au
  2. The Eric

    JamiiForums Tanzania Hotel Manager Meliá at Meliá Hotels International June 2025

    Madoido mengiii wakati meneja kashapatika hapo hapo melia....
  3. The Eric

    JamiiForums Tanzania Natafuta msimamizi wa shughuli zote za shamba

    Kwa nini atokee mikoa hiyo mzee, kuna kijana katokea Tanga usambaani huko milimani anapiga kazi sana. Anaweza tokea huko na kazi asipige sura sio roho.
  4. The Eric

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa football betting

    Huwa zinachana mkuu ila mara nyingi zinatoa
  5. The Eric

    JamiiForums Tanzania Naomba nafasi ya kazi

    Sales upande upi
  6. The Eric

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    😅😅😅😅
  7. The Eric

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Sawa mkuu madalali wengi na wamiliki wengi wa viwanja shule yetu ndogo sana mkuu, mambo yetu yapo kienyeji sana, unprofessional sana mkuu, pole ndugu msomi. Maeneo saivi na mji unajengeka panakuwa center sasa toka kwenye uswahili, dar pamepanuka ivyo uswahili unaenda kuisha. Mkuu kuhusu bei ya...
  8. The Eric

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Sawa mangi
  9. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Kila kitu kipo mkuu
  10. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Yapo vizuri sana
  11. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Hahahhahaha
  12. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Master bed 60K kipo Nyebulu chanika
  13. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Kingine hiki ni laki moja 100k mara miezi 3, kipo chanika nguvukazi
  14. The Eric

    JamiiForums Tanzania House4Rent chumba master 80k kwa mwezi kinapangishwa miezi 3 kodi.

    Hichi hapa chumba master na sebule kinataka 80K, mita yako unajitegemea.... Kipo chanika taliani...daresalaam. 0683042776
  15. The Eric

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Tabata kwa Swai 45mil...tu

    Daah yaani hapa umemaliza kila kitu mkuu. Labda awe hana mpango wa kununua eneo Tabata kwa swai.
Back
Top Bottom