Naomba nafasi ya kazi

Naomba nafasi ya kazi

Mim ni Kijana wa kiume , mwenye afya njema elimu yangu kidato Cha sita. Naishi dar es salaam kimara. Nimetafuta sana kazi ila nimekosa ,nilikuwa naomba nafasi ya kazi yoyote ile , na nipo tayari kufanya kazi yoyote ile kwenye mazingira yoyote yale
Platinum Credit Limited ni kampuni inayotoa mikopo kwa Watumishi wa Umma, wafanyabiashara na wafanyakazi kampuni binafsi.

Wanaahitajika Mawakala wa Mauzo mkoa wa Dar es salaam

SIFA ZA MUOMBAJI:
  • Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
  • Mwenye utayari wa kujifunza
  • Uzoefu wa kazi za mauzo na masoko
  • Awe mwaminifu na mwenye kujitambua
  • Umri usiopungua miaka 20

MAOMBI:
Muombaji atume nakala ya wasifu (CV) Kupitia njia zifuatazo
Email: ally.kafuku.platinum@gmail.com
Whatsapp: 0757962335
 
Jifunze boda anza kupiga bolt nakwambia hutatamani kuajiriwa
 
Mim ni Kijana wa kiume , mwenye afya njema elimu yangu kidato Cha sita. Naishi dar es salaam kimara. Nimetafuta sana kazi ila nimekosa ,nilikuwa naomba nafasi ya kazi yoyote ile , na nipo tayari kufanya kazi yoyote ile kwenye mazingira yoyote yale
NITAFUTE KWA 0658547794
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom