Nauza sofa 3M- Upanga Dsm

Nauza sofa 3M- Upanga Dsm

MANKA RINGO

Member
Joined
Mar 18, 2025
Posts
7
Reaction score
5
Offer 1.5M, TUWASILIANE KWA NO. +255 785825442

WhatsApp Image 2026-07-10 at 09.41.48 (1).jpeg

WhatsApp Image 2026-07-10 at 09.41.48.jpeg
WhatsApp Image 2026-07-10 at 09.41.47.jpeg
 
Used 3m? Mshafanyia mapenzi na matambiko? Na waganga wenu walikaa hapo wakiagua? Kuna wakati mwingine huwa tunaleta matatizo home kwa kununua vitu used na kusumbuka kwenda kwa Manabii kuuziwa maji ya upako!
 
Used 3m? Mshafanyia mapenzi na matambiko? Na waganga wenu walikaa hapo wakiagua? Kuna wakati mwingine huwa tunaleta matatizo home kwa kununua vitu used na kusumbuka kwenda kwa Manabii kuuziwa maji ya upako!
Nakazia unakuta kila style hapo zilitumika na hata kujifutia nanihii.
 
3M mtu anapata recliner safi iliyonyooka.

Hebu kuwa serious kama unauza.
 
Dah million 3 kwa hiyo sofa hata demu akikutembelea ghetto atakudharau. Si bora ununue China sofa kali mpya kwa million moja hiyo hadi usafiri kodi na ushuru.

 
Million tatu kiinua mgongo cha mwalimu wewe unakalia tu mh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom