P the MC Kuna interview alisema, Kuna msanii maarufu tu, anajimwambafai kanunua kiwanja, wakati Nash mc ana nyumba yake Kali tu.
Hao wasanii wanaopiga picha na magari mziki hauwalipi, kasikilize interview ya yule jamaa wa makomando (muki) kwenye sns
Ukiachana na maswali ya mtoa mada, mie najiuliza, Mungu alipata nini au alijisikiaje baada ya kondoo kuchinjwa (kutolewa sadaka) kwaajili yake
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Na hao mnaodai Wana mapepo? Yanatokea wapi wakati yameshindwa vibaya na Yesu, na tukipima activities za duniani ambazo ni za kimungu na zinazodaiwa za kishetani, unadhani zipi zitakuwa nyingi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.