Recent content by The Assassin

  1. The Assassin

    Baada ya kilio cha muda mrefu cha Trump hatimaye leo Xi Jinping amepokea simu ya Trump

    Mwenyeketi wa kijiji chetu cha Nyampulukano, Sengerema hajatusomea mapato na matumizi ya kijiji toka 2021.
  2. The Assassin

    Ukiwa kijana pesa yako iende kwenye haya mambo. Utatoboa tuu! Kamwe Usihonge wanawake!

    Achana na hizo hadithi za vijiweni, kama una hela honga utapata wanawake wazuri na utakula wanawake wazuri unaowataka wewe.
  3. The Assassin

    Ukiwa kijana pesa yako iende kwenye haya mambo. Utatoboa tuu! Kamwe Usihonge wanawake!

    Stori wa watu kujipigia bure ni hadithi za vijiweni. Kwenye hii Dunia hakuna kitu cha bure. Hakuna mwanamke anatoa uchi wake hapa Duniani bure, lazima kuna kitu anapata kutoka kwako ama anategemea ama kutarajia kupata kutoka kwako. Hakuna kitu cha bure kwenye hii Dunia.
  4. The Assassin

    Ukiwa kijana pesa yako iende kwenye haya mambo. Utatoboa tuu! Kamwe Usihonge wanawake!

    Kama unaona kuhonga ni gharama basi utaishia kupiga punyeto tu, uchi wa mwanamke utaishia kuuona mitandaoni tu. Hakuna mwanamke kwenye hii Dunia anaweza kukupa uchi wake bure, hayupo. Wanaume kuhonga is our natural calling, kila kiume wa kiume hapa Duniani anahonga, halafu mtu unaona kuhonga...
  5. The Assassin

    John Mrema wa CHAUMMA amefeli mapema

    Alitoroka na account ya chadema ya you tube. Ndio anaitumia kutangaza mambo ya chauma. Jamaa ni mpumbavu kiwango kisicho na mfano.
  6. The Assassin

    Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

    Hizi sio stori. Nimambo yaliyothibitishwa kisayansi pia. Huwezi kua mlevi uliepitiliza na ukawa na interest na sex, hiyo kitu haiwezekani. Kama mtu yuko tayari kuacha mwanamke ila sio pombe unaweza kuona ni kitu gani kina thamani kwake. Ama umesahau ulevi uliopitiliza wa wanaume wa Rombo...
  7. The Assassin

    Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

    Anisaliti kwani ni mke wangu? Wanawake ni waaminifu sana. Asilimia kubwa ya wanamke usaliti hua ni baada ya kumaliza option zote za suluhu mezani. Kama mtu anaendekeza pombe, anasema kuliko aache pombe bora aache mke, maana yake mwanamke kwake hana maana wala thamani yoyote. Huyo unataka...
  8. The Assassin

    Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

    Endelea kunywa mkuu. Kuna dogo flani alioa ex wangu, halafu akawa anakunywa pombe balaa, wakimwambia acha pombe anasema bora kuacha mke kuliko kuacha pombe. Binti akaona ya nini mimi nife na utamu wangu, akaniletea mwenyewe kwa kunibembeleza, baba naomba unile, jamaa hanifanyi chochote. Sasa...
  9. The Assassin

    PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Certificate sidhani kama ni zile za kusoma kabisa. Nafikiri labda ni certificate zile za kuhudhuria makongamano na semina ambazo baadae unapewa certificate.
  10. The Assassin

    Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Hapo sawa. Hapo nimekupata. Huyo ni halali yako mkuu. Kwa sababu hata mtoto wa kaka yake mama bado ni halali yako, sembuse mtoto wa kaka yake mke wa mjomba? Tafuna mkuu.
  11. The Assassin

    Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Sijaelewa, mtoto wa kaka ya shangazi yako, shangazi ni ndugu yake baba, sasa kama ni mtoto wa kaka ya shangazi maama yake ni mtoto wa baba mdogo ama mkubwa wako, huyo ni ndugu yako mkuu. Huyo sio binamu, huyo ni ndugu yako kabisa. Binamu ni mtoto wa shangazi ama mtoto wa mjomba, yaani mtoto wa...
  12. The Assassin

    PreGE2025 Prof. Kitila: Ilani ya CCM ya 2025/30 ni Ilani ya Wananchi

    Miaka 65 hakuna maendeleo, maendelea ndio yapatikane kuanzia October 2025?🙄
Back
Top Bottom