Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

Habari wana jamiiForums...

Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.

Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..

Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?

Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
ka,a ja,bo dogo kama hili huwezi kuamua mwenyewe maisha yako yako hatarini
 
kaka yake na mama( mjomba) ameoa mke, mke wake namuita shangazi.. sasa uyo shangaz ana kaka yake pia ,, uyo kaka yake shangaz ndio anamtoto wa kike ndie namuitaga binamu.. sio ndugu zetu wa damu wameolewa kwenye ukoo wetu tu
Hapo sawa. Hapo nimekupata. Huyo ni halali yako mkuu. Kwa sababu hata mtoto wa kaka yake mama bado ni halali yako, sembuse mtoto wa kaka yake mke wa mjomba? Tafuna mkuu.
 
Japo sishauri zinaa, lakini sioni undugu wowote hapo. Yaani mke wa mjomba wako (shangazi) si ndugu yako kabisa sasa iweje ndugu za hao shangazi yako wawe ndugu zako? Hapo unaoa kabisa, hakuna undugu kuna ujamaa tu wa kuoleana. Imagine mazingira ya kijijini, wote mnaishi kabila moja, unadhani kuna familia utaenda kuoa ambayo hamjawahi kuoleana?
 
Japo sishauri zinaa, lakini sioni undugu wowote hapo. Yaani mke wa mjomba wako (shangazi) si ndugu yako kabisa sasa iweje ndugu za hao shangazi yako wawe ndugu zako? Hapo unaoa kabisa, hakuna undugu kuna ujamaa tu wa kuoleana. Imagine mazingira ya kijijini, wote mnaishi kabila moja, unadhani kuna familia utaenda kuoa ambayo hamjawahi kuoleana?
ok .. sawa sawa,, ila tayar kashaliwa mapemaaa asbh
 
Habari wana jamiiForums...

Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.

Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..

Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?

Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
Mwenzetu ni muhindi ama mwarab kutaka kumla nduguyo?
 
Habari wana jamiiForums...

Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.

Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..

Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?

Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
Ungeomba ushauri kabla haujamtongoza.

Kwasasa unatuchora
 
Mpende kama rafiki,jamaa ila sio kweny kuvuana nguo wanawake nawajua habari utazipata mtaa wa saba
 
Piga huyo binamu mkuu, acha kuomba ushauri watu watakwambia ni haramu!

3e65f0effa4664ad7d03105683cdc42c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom