Recent content by Teresia Mahimbi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    NI PASUA KICHWA HASWA HYO BIASHARA
  2. T

    JamiiForums Tanzania Namba za simu, Nabii Burudoza

    Namba za huduma ni hizi 0712-112244,piga kwa maombezi na ushauri wa kiroho..Pia karibu ibadani ,Ukonga mazizini siku ya Jmapil ,ibada inaanza saa nne kamili..Pia jnne na Alhamis saa kumi hadi saa 12 .. Shalom
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu Ofisi ya CAG

    Swali la msingi sana umeuliza;
  4. T

    JamiiForums Tanzania msaada kwa anaeifahamu YETU microfinance

    Yan hata websie umeshindwa kutafuta??kweli wabongo hatuko serious halafu tunalia lia wakat ukipewa fursa unashinmdwa kujiongeza
  5. T

    JamiiForums Tanzania YETU MICROFINANCE to list on DSE

    Kuna benki zimekuwa listed kama wakala wa kuuza hisa mfano CRDB,Azania,..na benki za kijamii..upo mkoa gani?nenda tawi lolote la crdb
  6. T

    JamiiForums Tanzania Capital Market and Securities Authority Interview

    Mi sikuwa na taarifa hata ya hilo gazeti la Guardian, nashangaa nimetumiwa sms,na email juu kuhusu interview.kwenda kutafuta gazeti jina langu hakuna;sasa najiuliza je wako serios au?ndo kusema wengine ambao majina yao yapo gazetin na hawajataarifiwa wamepigwa chini na sisi wengine tumeitwa...
  7. T

    JamiiForums Tanzania SANITAS hospital viwango vyenu vinashuka kwa spidi

    Nilidhani ni mimi peke yangu nilie-doubt huduma zao,mana nilienda hapo July,majibu ya utra sound yakaonyesha kuna tatzo..sasa nauwauliza way forwad Daktari hanipi ushauri wa maaana ndo kwanza ananiambia if im doubting niende nkaseek-second opinion another hospital!!!nkaona hapa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania NBC Bank jirekebisheni, Huduma zenu mbovu

    Nasikitika sana nikiwa kama mteja wa NBC kwa miaka zaidi ya kumi kwa huduma zenu mbovu,zisizoeleweka wala kujli taratibu na sheria za Bank. Benki Kuu fanyen kazi yenu ipasavyo ku-supervise na ku monitor hii bank mana imekuwa kero. Kwanza ATM hazifanyi kazi tangu jumapili.mteja unataka kutoa...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Lucy komba: Mapenzi ya wabongo wizi mtupu

    aaah huu mpasho hatariiiiiiiiii,hebu tuambie mwenzetu ndoa ilikufuata vipi mlangoni???haluuu ,below thirty ulikuwa unajielewa au futat mkumbo??heheheiyaaaaaaaaaaa.la na yy ndo uamuzi wake kuolewa akiwa matured mumuwacheeeeeeee
  10. T

    JamiiForums Tanzania Songea: Basi la kampuni ya Super Feo lapinduka na kuua

    nakumbuka kanisani Ngurumo Ya Upako-tuliambiwa Neno la kinabii kuwa tutoe sadaka ya kujiepusha na ajali maana zitafululiza,tamko hili lilitolewa kwenye mwezi June or July.. sasa naona huo Unabii..Mungu aturehemu na atuepushe wajaa wake
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kuhusu tapeli Peter Myaka na wenzie

    WANAJAMII FORUM mnaotafuta kazi mjihadhari na hili tapeli linaitwa Peter Myaka, na wenzie watatu,mmoja anajifanya Daktra wana project kuhusu mambo ya community na mwingine anajifanya mzungu.. Atakudanganya kwamba mshahara dola elfu nne na marupurupu kibao so be aware..Watakapopata namba yako...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanataka ndoa hawapati, ni kweli hamna waoaji?

    unakunywa soda gani nikuletee??
  13. T

    JamiiForums Tanzania Geor Davie ni nani?

    Wacheni uongo kufilisika wapi?kwa taarifa yako huyo unayemsema anaitwa Sekela ni mtumishi mkubwa kwenye huduma ya ngurumo ya Upako ,na Mungu anamtumia sana,..maisha yake ni mazuri na anamtumikia Mungu katika roho na kweli,acha ushambenga
  14. T

    JamiiForums Tanzania Kanisa la Gwajima pale Tanganyika packers wamepanga viti vingi

    Geordavie alikuwa kwenye huduma yake hapo hapo kawe kwenye Jengo la Tanganyika packers na nyomi ilikuwa kibaoooooooo mi nilikuwepo viti zaidi ya mia sita vya kukodi na havijatosha achilia mbali viti mia nne vya kanisani..watu wakasimama bado..Ila upako tuliupokea kwa sana tu yani na waumini wa...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Aibu Kuu Uhamiaji: Uchakachuaji wa matokeo ya usaili wa nafasi za koplo na konstebo

    Mmmmh LL.M za siku hizi majanga hata simple kiswahili kuandika shidaaaaaaaaaa
Back
Top Bottom