Ubadhirifu Ofisi ya CAG

Ubadhirifu Ofisi ya CAG

Ajira zimekua kama kufanya biashara kuaharibiana ili mwingine apate soko..hata kama ni mtendaji mzuri..habari ipo ipo tuu harafu ipo front page...
Mkuu na kibaya zaidi unaweza kukuta sataka zima ni an inside job - afisa/mafisa walio ajiriwa katika ofisi ya CAG ndio wanasambaza disinformation hizi kwa lengo la kumchafua CAG - wasitumie hasira zao za kushindwa kupewa Cheo cha u CAG kwa kimbilia kumchafua Prof. wakumbuke Rais ana uhuru wa kumtehuwa yeyote kutoka nje au ndani ya Ofisi ya CAG na silazima atakoke ndani ya Ofisi ya CAG, kwa hiyo msimpige vita Professor wa watu.
 
Kwani hesabu za ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali zinakaguliwa na gazeti la Mtanzania?
 
Huyu CAG Anaweza Kufanya Lolote Ndani Ya Nchi Hii,ukim~DEAL TU ITAONEKANA UNAMUONEA KWA SABABU YA DINI YAKE.RELIGION BAITING.........
 
Mhhhhh angekuwa mtu mwingine katajwa humu watu wangeamimi hizo tuhuma ziwe za kweli au uongo. Najiuliza kwa nini wadau wengi wanamkingia kifua jamaa. Something fishy😡
 
Nimekuelewa vizuri sana mkuu lakini pia umeyasoma maandishi ya mtu niliye quote? Badala ya yeye kujikita kwenye story analaumu mwandishi kwa maana ya IMANI yake, this is why nilimkumbusha kua mmiliki wa hilo gazeti wapo dini 1 na yeye mwenyewe na huyo mtuhumiwa.

Nimekuelewa.Asante kwa kunielewesha zaidi.

Tatizo letu watanzania tunafikiri wenye DINI kama zetu siyo wabadhirifu.I wish tungeiacha dini tukajadili ili kumsaidia RAIS
 
“Kwanza unajua ni makosa kuwa na nyaraka za ofisi ya Serikali, sasa kama ukiandika basi na sisi tutachukua hatua. Pia hayo yote uliyosema mimi sihusiki, watafute watendaji wakupe majibu,” alisema Profesa Assad.
Alafu hawa ndio wanaoendelea kutuaminisha kuwa saed Kubenea hajasoma japo wananchi wa Ubungo kwa wingi wao wamemkataa Dr (PhD) na kumchagua 'STD VII'!!
Huyu jamaa namfahamu kabla hajawa hata profesa alikuwa lecturer mzuri wa maadili ya uhasibu pamoja na kuendesha kampuni binafsi ya uhasibu. Kwa muonekano wake wa sasa unaniongezea maswali na nasita kuamini kama anaweza kumjibu mwandishi hivi. Ngoja tusubiri yeye binafsi au ofisi wakitoa majibu ya hii habari.
Nyongeza ni kwa wale walimdharau Tundu Lissu alivyokesha bungeni kupinga sheria ya mitandao na sasa unaona mtu anasema eti kuwa na document inayohusu kuiibia serikali unashitakiwa!
 
Alafu hawa ndio wanaoendelea kutuaminisha kuwa saed Kubenea hajasoma japo wananchi wa Ubungo kwa wingi wao wamemkataa Dr (PhD) na kumchagua 'STD VII'!!
Huyu jamaa namfahamu kabla hajawa hata profesa alikuwa lecturer mzuri wa maadili ya uhasibu pamoja na kuendesha kampuni binafsi ya uhasibu. Kwa muonekano wake wa sasa unaniongezea maswali na nasita kuamini kama anaweza kumjibu mwandishi hivi. Ngoja tusubiri yeye binafsi au ofisi wakitoa majibu ya hii habari.
Nyongeza ni kwa wale walimdharau Tundu Lissu alivyokesha bungeni kupinga sheria ya mitandao na sasa unaona mtu anasema eti kuwa na document inayohusu kuiibia serikali unashitakiwa!

Kaka mpaka hapo hatuna ofisi ya CAG,kama tusivyokuwa na ofisi ya AG..............
 
Mkuu na kibaya zaidi unaweza kukuta sataka zima ni an inside job - afisa/mafisa walio ajiriwa katika ofisi ya CAG ndio wanasambaza disinformation hizi kwa lengo la kumchafua CAG - wasitumie hasira zao za kushindwa kupewa Cheo cha u CAG kwa kimbilia kumchafua Prof. wakumbuke Rais ana uhuru wa kumtehuwa yeyote kutoka nje au ndani ya Ofisi ya CAG na silazima atakoke ndani ya Ofisi ya CAG, kwa hiyo msimpige vita Professor wa watu.

Tinachotakiwa kufanya ni kuujua ukweli.Lakini sidhani kama suala ni la wivu.Tuwe wabunifu wa kuuliza.KAma issue ya Renovation imefanywa wakati wa JK inawezekana kukawa na ukweli ndani yake.Lakini nani atamfunga PAKA kengele?Hakika tunahitaji CAG wakumCAG our CAG.
 
Km n kweli basi Tanzania hakuna sekta ilokuwa salama Mungu saidia tu
 
Katika hali hii sijui kama kuna kazi itafanyika mi nadhani hii ishu sio ya kweli kabisa. Kilichotokea hivi majuzi pale mamlaka ya usafiri wa anga ni dhahili kabisa kuwa sasa hivi ni mwendo wa mawaziri kufuata maneno ya makoridoni. TCAA kuna kada ya AIR TRAFFIC CONTROLLER hawa inaonyesha ndio haswa waliokuwa na bifu na mr. Chacha na wakalipua kwa waziri na kilichofuata ni kufuta hicho kibarua cha muda. Ki ukweli kununua mitambo mikubwa kama ile ikafanyakazi hapohapo inategemea sana uwezo wako kiuchumi na kama ni mdogo unafanya kwa awamu. Kilichofuata baada ya chacha kutimuliwa baadhi ya AIR TRAFFIC CONTROLLERS walijipongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kumwondoa.
Ushauri wangu kwa mawaziri; wasipokuwa makini na maneno ya baadhi ya wafanyakazi nchi itaishia kubaya maana lengo la raisi wetu ni kujenga na si kubomoa. Watu wanafanya ila makazini na kutaka vyeo na mwisho siku kupongezana.
 
Prof Assad, umeziba mianya yote pale ofisi ya CAG wapigaji wanalia lia ovyo daah!! Wewe mtu hatari sana umeziba pipe zote.
 
Prof Assad, umeziba mianya yote pale ofisi ya CAG wapigaji wanalia lia ovyo daah!! Wewe mtu hatari sana umeziba pipe zote.

jamani hakuna wivu hapo,huyu jamaa ni mshirika mkubwa wa fisadi mmoja(ntamtaja baadae) na wamefilisi sehemu fulani hadi ofisi imefilisika.magufuli atapatumbua soon
 
Hii kali. Yaani CAG nae mpigaji? Nahisi anapakwa matope au kuna mtu anatafutiwa kazi. Nitasubiri muda ufungue mengi...
Cha muhimu ushahidi tu.
Kama upo wembe ni uleule.
Jamaa aliingia kazini kwa mbwembwe kumbe nae mpigaji
 
This should be played at high volume preferably in a residential area

Tuna safari ndefu sana wabongo! Bado hatuna nia wala utashi wa kuuita uovu/ubadhirifu kwa jina lake! Ili uovu ukemewe au utetewe unategemea "nani mhusika"! Kama ofisi ya CAG imefanya ubadhirifu, utabakia ni ubadhirifu tu hata kama watu watamtetea vipi hapa Jukwaani! Na kama ni majungu, ofisi yenyewe ya CAG ina wajibu wa kulishitaki gazeti husika ili sheria iweze kuchukua mkondo wake!
 
Back
Top Bottom