SANITAS hospital viwango vyenu vinashuka kwa spidi

SANITAS hospital viwango vyenu vinashuka kwa spidi

Sharp lady

Senior Member
Joined
Feb 23, 2011
Posts
129
Reaction score
13
Habarini za leo wana jamvi, napenda kuishauri menejimenti ya SANITAS hospital kujitafakari nakujirekebisha haraka kwani wanakoelekea ni kubaya. Madaktari wazuri waliokuwa wanapatikana pale sasa hivi hawapo, hospitali imekuwa CHAFU, pharmacy haina dawa wahudumu wa reception wanajibu hovyo.
Jitafakarini na mchukue hatua haraka. Mlifanikiwa kujulikana na kupata weteja wengi kipindi mlipokuwa mnawaleta maspecialist wengi, huduma za maabara na pharmacy zilikuwa za kiwango cha juu, sasa hivi mpo tu mnasukuma siku.
 
Wahuni sana hao wahindi, hawana lolote ni wababaishaji wa kutupwa!! Nilifanya kazi hapo kwa muda mfupi nikatemana nao; walishindwa kutimiza kile ambacho nilikubaliana nacho kwenye mkataba katika swala la maslahi!!! Wakafie mbele huko!!
 
Habarini za leo wana jamvi, napenda kuishauri menejimenti ya SANITAS hospital kujitafakari nakujirekebisha haraka kwani wanakoelekea nikubaya. Madaktari wazuri waliokuwa wanapatikana pale sasa hivi hawapo, hospitali imekuwa CHAFU, pharmacy haina dawa wahudumu wa reception wanajibu hovyo.
Jitafakarini na mchukue hatua haraka. Mlifanikiwa kujulikana na kupata weteja wengi kipindi mlipokuwa mnawaleta maspecialist wengi, huduma za maabara na pharmacy zilikuwa za kiwango cha juu, sasa hivi mpo tu mnasukuma siku.

Nilidhani ni mimi peke yangu nilie-doubt huduma zao,mana nilienda hapo July,majibu ya utra sound yakaonyesha kuna tatzo..sasa nauwauliza way forwad Daktari hanipi ushauri wa maaana ndo kwanza ananiambia if im doubting niende nkaseek-second opinion another hospital!!!nkaona hapa ubabaishaji,nashukuru tu ckutoa cash from my pocket,thank to NHIF mana ningeitoa ile hela cash ningepiga mtu.
 
Wahuni sana hao wahindi, hawana lolote ni wababaishaji wa kutupwa!! Nilifanya kazi hapo kwa muda mfupi nikatemana nao; walishindwa kutimiza kile ambacho nilikubaliana nacho kwenye mkataba katika swala la maslahi!!! Wakafie mbele huko!!

Sasa hivi wana madaktari wachache sana baadhi yao mbali nakutokuwa wazoefu yaani majibu yao siyo yakufikirika hata kidogo ugonjwa wa mtu na ushauri anaopewa hata ambaye hajasoma medicine hawezi kutoka.
 
Nilidhani ni mimi peke yangu nilie-doubt huduma zao,mana nilienda hapo July,majibu ya utra sound yakaonyesha kuna tatzo..sasa nauwauliza way forwad Daktari hanipi ushauri wa maaana ndo kwanza ananiambia if im doubting niende nkaseek-second opinion another hospital!!!nkaona hapa ubabaishaji,nashukuru tu ckutoa cash from my pocket,thank to NHIF mana ningeitoa ile hela cash ningepiga mtu.

Sasa hivi madaktari wazuri wengi waeondoka naona management haielewi inafanya nini na wame expand hospitali bila kufikiria wateja watatoa wapi
 
Haya yote tunapata taabu kutokana na serikali hii ya ccm kutelekeza sekta ya afya
 
Aisee hakufai pale viwango vimeshuka kwa spidi na hii yote ni kutokana na poor management wafanyakazi wanadai mishahara zaidi ya miezi 3 no motivation.wafanyakazi wamekimbia pale wengi ni ubabaishaji mtupu
 
Habarini za leo wana jamvi, napenda kuishauri menejimenti ya SANITAS hospital kujitafakari nakujirekebisha haraka kwani wanakoelekea ni kubaya. Madaktari wazuri waliokuwa wanapatikana pale sasa hivi hawapo, hospitali imekuwa CHAFU, pharmacy haina dawa wahudumu wa reception wanajibu hovyo.
Jitafakarini na mchukue hatua haraka. Mlifanikiwa kujulikana na kupata weteja wengi kipindi mlipokuwa mnawaleta maspecialist wengi, huduma za maabara na pharmacy zilikuwa za kiwango cha juu, sasa hivi mpo tu mnasukuma siku.

Mkuu hizi hospitali nyingi siku hizi zimeanzishwa kwa ajili ya kuchotea fedha za NHIF tu, hamna lolote ni uhuni mtupu.
 
Back
Top Bottom