Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 824
Barabarani tunakumbana na changamoto nyingi sana, zikiwemo za reckless driving ya vyombo vya usafiri na mabodaboda, rough overtaking, etc.
nimeangalia picha kwenye blog kwa hiyo link hapo juu kuna picha ya basi kabla halijaanza safari likiwa stend na baada ya ajari, inamaana aliyepiga picha alijua kuwa kuna ajari itatokea au!? kama sio ina maana huwa anapiga picha mabasi yote kabla hayajatoka!
hapa unawasingizia wachina..
1. ajali ya kule mara uso kwa uso...inamaana wachina wanafanya dereve aone barabara haina gar kumbe lipo?
2. Basi lililotumbukia korongoni huko moro baada ya dereva kushindwa kulala na kona.....speed 140km/hr kwenye kona bado unamlaumu mchina?
Labda tumlaum mchina kuleta kitu lain ukikanyaga inaserereka tu...waturudishie letland Daf max speed 55km/hr
Ulidhani ni yu tong?
kwani ukimsindikiza mtu na ukapiga picha kuna kosa?
hujaelewa hata swali acha kujibu kwa kutumia akili za saa 11
Umefungua link? Gari limeonyeshwa likiwa stendi kabla ya safari.
nilisema hivi HIZIICHA NDO ZA AJALI YA SUPER FEO???
Kwahiyo yule mwenye blog ile wataka sema alikuwa anamsindikiza nduguye akaamua apige picha kabisa na gari aliyopanda, baada ya ajari akaifuata tena gari akaipige picha aweke kwenye blog yake!?
Ndio kama source ya habari ilivyopost
dah poleni sana wafiwa
Dah' , hata mimi nashangaanimeangalia picha kwenye blog kwa hiyo link hapo juu kuna picha ya basi kabla halijaanza safari likiwa stend na baada ya ajari, inamaana aliyepiga picha alijua kuwa kuna ajari itatokea au!? kama sio ina maana huwa anapiga picha mabasi yote kabla hayajatoka!
Kwahiyo yule mwenye blog ile wataka sema alikuwa anamsindikiza nduguye akaamua apige picha kabisa na gari aliyopanda, baada ya ajari akaifuata tena gari akaipige picha aweke kwenye blog yake!?
Sio lazima iwe picha ya siku ya tukio coz wabongo unawajua kujifanya wapo up-to-date, utakuta picha ya mwez akasema ya leo.. Pia inawezekana alipoga picha ndiyo kwan ww hujawahi kupiga picha gari? Kama umewahi ingetokea gari hiyohiyo ipate ajari huwezi kuonesha hizo picha?? Take it easy buddy..