Recent content by TELLO

  1. TELLO

    Nini hatima ya kanisa la Mlima wa moto A.G baada ya Mama Getrude Lwakatare (Mchungaji na mbunge) kufariki dunia?

    Bro Mshana ningependa kumfaham vizur huyu jamaa Anayemiliki vituo vya mafuta vya VICTORIA.Nasikia jamaa ni mafia kishenzi yaan afu ni HASHIKIKI. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. TELLO

    Msaada: Natafuta spray ya aina hii...

    Nenda kariakoo msimbazi maduka yote ya vipodozi zimejaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. TELLO

    Hataki 'doggy style' nifanye nini?

    Nenda nae bafuni mkaoge wote then we doondosha sabuni afu mwambie aiokote we ukiwa myuma.Nadhani hadi hapo utakuwa umenielewa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. TELLO

    Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

    Mi kwa upande wangu huwa naona wanawake wa JF wanajielewa na wanauelewa mkubwa.Sijuwi kwa kuwa sijawahi tongoza mwanamke yeyote humu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. TELLO

    Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

    Nipo nacheki ALJAZEERA nione kama ni kweli. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. TELLO

    Karibu Gardaworld Security kwa huduma za ulinzi

    Hawa jamaa naona wamejipanga sana ofisi yao naionaga pale Mikocheni Warioba. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. TELLO

    Jipu la vipimio vya haraka vya corona (Rapid corona test kits)

    Gwajima Anakwambia AMFIFIRO ni noma na nusu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. TELLO

    Lindi: Wafanyabiashara 14 wa taasisi za mikopo watiwa mbaroni

    Ndo nini sasa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. TELLO

    Udhalilishaji waendelea Kisiwani Pemba Zanzibar

    Vijana wa kiume wanaoingia Pemba wakiwa wamenyoa kiduku au virasta uchwara, wananyolewa pale pale bandarini.Vijana wa kiume waliovaa vi jinsi vimewabana vigimbi hadi makalio,wana mikasi wanazichana. Sasa sijuwi munataka vijana wa kiume wajifananishe na wa kike ndo museme haki za Binadamu Sent...
  10. TELLO

    Happening now at Kondo Bahari Beach: Marehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo

    Majuzi kati alikufa ndugu yangu kwa ugonjwa wa corona.Tulienda kuzika makaburi ya kondo,Ndugu wa marehemu tuliambiwa tusizid saba.Basi walivofika walipofika na miili ya marehem na Ambulance yenye msalaba wa kijani,Cha kwanza tulichotahadhalishwa ni kutopiga picha na walikuwa makini na hilo...
  11. TELLO

    Wakati huu wa Corona nimegundua ni kweli mtu mweusi hajitambui na ni sahihi kabisa kubaguliwa

    Punguza ujuaji mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. TELLO

    Kujifukiza ni kinga au ni tiba?

    Wabongo sisi bana sijuwi huwa tunataka tuambiwe nini.Ila mi nilichojifunza ni kwamba swala la kujifukiza wangesema wazungu tu. Basi kila mtu asingechalenge kama hivi ila kwakuwa aliyesema ni mswahili mwenzetu imekuwa kama mzaha. Sasa subiri watu yawapate watautafuta mvuke wenyewe. Sent using...
  13. TELLO

    Marekani na WHO wameionya Madagascar kuachana na dawa yao ya kutibu Corona

    Kinachoshangaza ni Unafiki wa Maraisi wetu!Hata sijaona hata nchi mojawapo iliyompa sapoti Madagascar Sent using Jamii Forums mobile app
  14. TELLO

    Jiji la Mbeya a.k.a Green City laanza kuchipua upya

    Mbeya ni big town kama dodoma sio city bana. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. TELLO

    Bungeni: Musukuma na Spika Ndugai waiomba Serikali kuruhusu waganga wa jadi kuruhusiwa kutibu Corona, wadai imani za Kimagharibi ndio kikwazo

    Mkuu tiba za asili sio ushirikina tu kama ulivokalili.Mfano kama unaumwa mafua!ukachukua tangawiz asali limao na kitunguu Saum ili kujitibia.Hiyo ni tiba asili tena mzuri sasa ushirikina upo wapi hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom