Wakati huu wa Corona nimegundua ni kweli mtu mweusi hajitambui na ni sahihi kabisa kubaguliwa

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,901
95,401
Juzi nimetoka kidogo kwenda kupata mahitaji ya hapa na pale baada ya kujiweka Karantini kwa muda ila niliyokutana nayo yamenishangaza sana.Asilimia zaidi ya tisini ya Watanzania wanavaa barakoa za vitambaa vya vitenge na wengine wamejifunga leso kama barakoa halafu shaka hawana. Nikawa najiuliza kwa mfano huu ugonjwa ungekuwa umetupiga kama vile ulivyopiga China, Italy, USA, Spain kuna mtu angepona?

Kikubwa nikawa nafikiri labda watu hawana elimu juu ya uvaaji wa barakoa na ni aina zipi za barakoa zinaweza kuzuia Coronavirus. Sasa kilichonisikitisha zaidi na kunichekesha ni kwamba kuna eneo fulani nilienda kupata mahitaji yangu, sasa hilo eneo lina kijiwe cha wanywa kahawa na wapiga story. Hicho kijiwe kina watu zaidi ya kumi na tano kwa hesabu ya haraka na wote walikuwa wamevaa barakoa za vitenge na wengine wamejifunga leso.

Sasa kwenye hicho kijiwe walikuwa wanasikiliza idhaa ya kiswahili ya BBC na alisikika makamu wa waziri wa afya wa Tanzania akisisitiza kuwa barakoa za vitambaa zinazoshonwa mitaani huko hazina uwezo wa kuzuia maambukizi ya Covid-19 na wale jamaa kwa sababu kwa muda huo walikuwa wanasikiliza BBC kwa umakini ili wapate habari za Corona kwa kina basi waliisikia taarifa hiyo ila hakuna alietilia maanani kwa kuiongelea.Sasa jana nikatoka pia nikapita eneo lilelile nikawakuta bado wametulia na barakoa zao za vitenge licha ya habari walioisikia jana yake.

Nilichojifunza ni kuwa mwafrika ni nusu chizi na usipokuwa nae makini anakuumbua fasta sana.Siyo binadamu ambae anaweza kuwa serious kwenye mambo ya msingi.Mambo yanayoshangaza kipindi hiki ni mengi, juzi nimeshangaa kidogo baada ya Mh. Rais kusisitiza kuwa ni vyema watu wanaopona Corona kutangazwa ili kuondoa hofu na ghafla takwimu zilizofuata za Covid-19 idadi ya waliopona corona ikapaa, nikajua ni mtu mweusi tayari! Kwa upande wangu mimi naona inatakiwa watu wapatwe na hofu zaidi ili waweze kuwa serious zaidi tofauti na wanavyokosa hofu na kujikuta wanajiachia.


tapatalk_jpeg_1587735388422.jpg
IMG_20200412_173219_408.jpg
 
Sijasoma maelezo yote ila kwa picha ulizopakia wakati mwingine tuache lawama, wewe kama unaweza nunua barakoa kwa Tsh. 3000 na ukabadili baada ya saa nne heri yako, wengine huwezo huo hawana.

Huyo mama muuza mahindi we unadhani kwa siku hapo ataingiza bei gani na atoe njururu za kununua barakoa kila baada ya saa 4?

Na kubaki home haiwezekani maana unakuta akitoka ndio familia inapata mlo.
 
Juzi nimetoka kidogo kwenda kupata mahitaji ya hapa na pale baada ya kujiweka Karantini kwa muda ila niliyokutana nayo yamenishangaza sana.Asilimia zaidi ya tisini ya Watanzania wanavaa barakoa za vitambaa vya vitenge na wengine wamejifunga leso kama barakoa halafu shaka hawana. Nikawa najiuliza kwa mfano huu ugonjwa ungekuwa umetupiga kama vile ulivyopiga China, Italy, USA, Spain kuna mtu angepona?

Kikubwa nikawa nafikiri labda watu hawana elimu juu ya uvaaji wa barakoa na ni aina zipi za barakoa zinaweza kuzuia Coronavirus. Sasa kilichonisikitisha zaidi na kunichekesha ni kwamba kuna eneo fulani nilienda kupata mahitaji yangu, sasa hilo eneo lina kijiwe cha wanywa kahawa na wapiga story. Hicho kijiwe kina watu zaidi ya kumi na tano kwa hesabu ya haraka na wote walikuwa wamevaa barakoa za vitenge na wengine wamejifunga leso.

Sasa kwenye hicho kijiwe walikuwa wanasikiliza idhaa ya kiswahili ya BBC na alisikika makamu wa waziri wa afya wa Tanzania akisisitiza kuwa barakoa za vitambaa zinazoshonwa mitaani huko hazina uwezo wa kuzuia maambukizi ya Covid-19 na wale jamaa kwa sababu kwa muda huo walikuwa wanasikiliza BBC kwa umakini ili wapate habari za Corona kwa kina basi waliisikia taarifa hiyo ila hakuna alietilia maanani kwa kuiongelea.Sasa jana nikatoka pia nikapita eneo lilelile nikawakuta bado wametulia na barakoa zao za vitenge licha ya habari walioisikia jana yake.

Nilichojifunza ni kuwa mwafrika ni nusu chizi na usipokuwa nae makini anakuumbua fasta sana.Siyo binadamu ambae anaweza kuwa serious kwenye mambo ya msingi.Mambo yanayoshangaza kipindi hiki ni mengi, juzi nimeshangaa kidogo baada ya Mh. Rais kusisitiza kuwa ni vyema watu wanaopona Corona kutangazwa ili kuondoa hofu na ghafla takwimu zilizofuata za Covid-19 idadi ya waliopona corona ikapaa, nikajua ni mtu mweusi tayari! Kwa upande wangu mimi naona inatakiwa watu wapatwe na hofu zaidi ili waweze kuwa serious zaidi tofauti na wanavyokosa hofu na kujikuta wanajiachia.


View attachment 1428946

Wanojielewa Hawa hapa kwenye video !!! Utawaitaje ?
 
Kwaio wewe ni mzungu ndiomana unajielewa? Kama hujui ni kwa sababu ya watu wenye tabia Kama zako ndio wanafanya CC watu weus tuwe wajinga siku zote mzungu Alie starabika hawezi kumnyooshea kidole kibaya mzungu mwenzake ata Kama ni mjinga kiasi gan wewe ulitakiwa baada ya kuona picha izo mitandaon kwa wing ulitakiwa na wewe ulie vaa barakoa nzuri ujipige picha nying na kuzisanbaza kwenye mitandao sio kutukana watu hujui watu kula Yao tu ni buku 2 alafu anunue barakoa ya 3000 acha upumbavu na tengua kauli
Juzi nimetoka kidogo kwenda kupata mahitaji ya hapa na pale baada ya kujiweka Karantini kwa muda ila niliyokutana nayo yamenishangaza sana.Asilimia zaidi ya tisini ya Watanzania wanavaa barakoa za vitambaa vya vitenge na wengine wamejifunga leso kama barakoa halafu shaka hawana. Nikawa najiuliza kwa mfano huu ugonjwa ungekuwa umetupiga kama vile ulivyopiga China, Italy, USA, Spain kuna mtu angepona?

Kikubwa nikawa nafikiri labda watu hawana elimu juu ya uvaaji wa barakoa na ni aina zipi za barakoa zinaweza kuzuia Coronavirus. Sasa kilichonisikitisha zaidi na kunichekesha ni kwamba kuna eneo fulani nilienda kupata mahitaji yangu, sasa hilo eneo lina kijiwe cha wanywa kahawa na wapiga story. Hicho kijiwe kina watu zaidi ya kumi na tano kwa hesabu ya haraka na wote walikuwa wamevaa barakoa za vitenge na wengine wamejifunga leso.

Sasa kwenye hicho kijiwe walikuwa wanasikiliza idhaa ya kiswahili ya BBC na alisikika makamu wa waziri wa afya wa Tanzania akisisitiza kuwa barakoa za vitambaa zinazoshonwa mitaani huko hazina uwezo wa kuzuia maambukizi ya Covid-19 na wale jamaa kwa sababu kwa muda huo walikuwa wanasikiliza BBC kwa umakini ili wapate habari za Corona kwa kina basi waliisikia taarifa hiyo ila hakuna alietilia maanani kwa kuiongelea.Sasa jana nikatoka pia nikapita eneo lilelile nikawakuta bado wametulia na barakoa zao za vitenge licha ya habari walioisikia jana yake.

Nilichojifunza ni kuwa mwafrika ni nusu chizi na usipokuwa nae makini anakuumbua fasta sana.Siyo binadamu ambae anaweza kuwa serious kwenye mambo ya msingi.Mambo yanayoshangaza kipindi hiki ni mengi, juzi nimeshangaa kidogo baada ya Mh. Rais kusisitiza kuwa ni vyema watu wanaopona Corona kutangazwa ili kuondoa hofu na ghafla takwimu zilizofuata za Covid-19 idadi ya waliopona corona ikapaa, nikajua ni mtu mweusi tayari! Kwa upande wangu mimi naona inatakiwa watu wapatwe na hofu zaidi ili waweze kuwa serious zaidi tofauti na wanavyokosa hofu na kujikuta wanajiachia.


View attachment 1428946

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala ya kuwavizia ndugu zako na kuwapiga picha za kuja kupambia hili andiko lako, si ungenunua tu hata hizo barakoa mbili na ukawapatia! Au ungetumia muda wako kuelimisha matumizi sahihi ya hizo barakoa.

Una maneno ya shombo kwa Waafrika/Watanzania wenzako as if wewe mwenzetu ni Mzungu pori! Kumbe utakuta ni mchimba chumvi tu.
 
Sijasoma maelezo yote ila kwa picha ulizopakia wakati mwingine tuache lawama, wewe kama unaweza nunua barakoa kwa Tsh. 3000 na ukabadili baada ya saa nne heri yako, wengine huwezo huo hawana.

Huyo mama muuza mahindi we unadhani kwa siku hapo ataingiza bei gani na atoe njururu za kununua barakoa kila baada ya saa 4?

Na kubaki home haiwezekani maana unakuta akitoka ndio familia inapata mlo.
Kushindwa kununua barakoa ya tsh 3000 ni Uafrika wenyewe! Umasikini ni indicator nzuri sana ya akili ndogo. Hata kama wewe utakufa masikini jua huna akili
 
Mkuu wewe ni mwafrika,!?!?
Jibu kama ni "ndio" Nanukuu kauli yako wewe ni CHIZI..tena mwenye uchizi uliokua na uelewa..

Hivi umejifunza nini kuhusu korona..

Kwa kauli yangu mimi nasema Vitambaa vinazuia Corona nasema vinazuia..(Angalizo si sahihi hili,Ila ni maono yangu )
(MoDs) Tafadhari msiseme napotosha umma kuhusu Corona.Na kama kweli naomba muufutilie mbali hii comment yangu.

Rudi kajifunze kuhusu Covid-19 na jinsi inavyosambaa utaelewa why nimesema inazuia...



Mkuu korona haisambazwi kwa hewa na kama mwenye korona kavaa mask ya kitambaa maana yake ni kwama umatemate anao utia wakati wakuongea na kupumua unafika kwenye kitambaa na kukwama so Inazua richa ya kua kuna vijidudu vitapita ila havotokua na nguvu ya kusambaa umbali wa mita 1,kwani tayari vishakutana na kizuizi kabla na Umbali huo ni mkubwa sana kwa mtu ambaye si mwathirika akavikwaa....


Ila kwa upande wa pili(Mtu asiye na Corona)
kama akivaa mask Ulizosema ndio kuna Chance kubwa ya kuupata naweza sema kwa zaidi ya 90℅ kama ikitokea atakaa na mwathirika kwa ujirani zaidi..


Usitishe watu..ila jifunze kitu..





Yote kwa yote...Hili ni janga na tuheshimu kanuni na maagizo yanayotelowa na Wataalamu..
Kingine wewe ulipaswa kuwafundisha na kuwapa elimu kwani unafaham,ila umeamua kukaa kimya na kuwatizama kama Cartoon..je Chizi ni Hao au wewe, na kuthibitisha uchizi wako umeenda na kudownload picha na kuleta humu!?

Duuj mkuu nilikua napenda Nyuzi zako ila kwa hii ya leo..Umepalama..

Na pia Samahani kama nimekuudhi au kukejeri ila ni Maoni yangu tu..
[ Mhariri]
Wewe ni nani hadi umpinge makamu wa waziri wa Afya ambae ni mtaalam?
 
Kwaio wewe ni mzungu ndiomana unajielewa? Kama hujui ni kwa sababu ya watu wenye tabia Kama zako ndio wanafanya CC watu weus tuwe wajinga siku zote mzungu Alie starabika hawezi kumnyooshea kidole kibaya mzungu mwenzake ata Kama ni mjinga kiasi gan wewe ulitakiwa baada ya kuona picha izo mitandaon kwa wing ulitakiwa na wewe ulie vaa barakoa nzuri ujipige picha nying na kuzisanbaza kwenye mitandao sio kutukana watu hujui watu kula Yao tu ni buku 2 alafu anunue barakoa ya 3000 acha upumbavu na tengua kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha kula ni buku 2 ni indicator nzuri sana ya umasikini. Na umasikini ni matokeo ya akili ndogo. Kwa hiyo unatetea watu kuwa na akili ndogo?
 
Juzi nimetoka kidogo kwenda kupata mahitaji ya hapa na pale baada ya kujiweka Karantini kwa muda ila niliyokutana nayo yamenishangaza sana.Asilimia zaidi ya tisini ya Watanzania wanavaa barakoa za vitambaa vya vitenge na wengine wamejifunga leso kama barakoa halafu shaka hawana. Nikawa najiuliza kwa mfano huu ugonjwa ungekuwa umetupiga kama vile ulivyopiga China, Italy, USA, Spain kuna mtu angepona?

Kikubwa nikawa nafikiri labda watu hawana elimu juu ya uvaaji wa barakoa na ni aina zipi za barakoa zinaweza kuzuia Coronavirus. Sasa kilichonisikitisha zaidi na kunichekesha ni kwamba kuna eneo fulani nilienda kupata mahitaji yangu, sasa hilo eneo lina kijiwe cha wanywa kahawa na wapiga story. Hicho kijiwe kina watu zaidi ya kumi na tano kwa hesabu ya haraka na wote walikuwa wamevaa barakoa za vitenge na wengine wamejifunga leso.

Sasa kwenye hicho kijiwe walikuwa wanasikiliza idhaa ya kiswahili ya BBC na alisikika makamu wa waziri wa afya wa Tanzania akisisitiza kuwa barakoa za vitambaa zinazoshonwa mitaani huko hazina uwezo wa kuzuia maambukizi ya Covid-19 na wale jamaa kwa sababu kwa muda huo walikuwa wanasikiliza BBC kwa umakini ili wapate habari za Corona kwa kina basi waliisikia taarifa hiyo ila hakuna alietilia maanani kwa kuiongelea.Sasa jana nikatoka pia nikapita eneo lilelile nikawakuta bado wametulia na barakoa zao za vitenge licha ya habari walioisikia jana yake.

Nilichojifunza ni kuwa mwafrika ni nusu chizi na usipokuwa nae makini anakuumbua fasta sana.Siyo binadamu ambae anaweza kuwa serious kwenye mambo ya msingi.Mambo yanayoshangaza kipindi hiki ni mengi, juzi nimeshangaa kidogo baada ya Mh. Rais kusisitiza kuwa ni vyema watu wanaopona Corona kutangazwa ili kuondoa hofu na ghafla takwimu zilizofuata za Covid-19 idadi ya waliopona corona ikapaa, nikajua ni mtu mweusi tayari! Kwa upande wangu mimi naona inatakiwa watu wapatwe na hofu zaidi ili waweze kuwa serious zaidi tofauti na wanavyokosa hofu na kujikuta wanajiachia.


View attachment 1428946
Mtu mweusi ni nyani.

Btw. Nasikia jiwe anakula pesa za michango ya Corvid. Anasema zipelekwe kwenye uchaguzi
 
Back
Top Bottom