Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mbunge wa Geita, Joseph Msukuma, ameitaka Serikali kuwapa nafasi Waganga wa jadi katika kutumia dawa zao kutibu watu wanaougua Corona.
Amesema akili za Waafrika wengi zimejazwa imani za Magharibi kiasi cha kudharau tiba za asili zilizotumika enzi na enzi.
Aidha, hoja hiyo iliungwa mkono na Spika Job Ndugai, aliyesema yupo Msomi mmoja ameandika dawa zinazoweza kutibu virusi vya corona lakini kutokana na imani za mila za Magharibi hakijapewa kipaumbele.
Amesema akili za Waafrika wengi zimejazwa imani za Magharibi kiasi cha kudharau tiba za asili zilizotumika enzi na enzi.
Aidha, hoja hiyo iliungwa mkono na Spika Job Ndugai, aliyesema yupo Msomi mmoja ameandika dawa zinazoweza kutibu virusi vya corona lakini kutokana na imani za mila za Magharibi hakijapewa kipaumbele.