Recent content by Tecno_one

  1. Tecno_one

    Niulize chochote kuhusu java na xml

    Ni editor IPI... Ambayo ni nzuri kwakufanya java
  2. Tecno_one

    Nahitaji Mashine ya kupasua mawe yawe kokoto

    Naweza kupata process au namna yakufanya hvyo?? Au kama una mtu aliefanya hvyo nakufanikiwa unaweza kuni link nae ....
  3. Tecno_one

    Nahitaji Mashine ya kupasua mawe yawe kokoto

    Wakuu habari za wakati huu ni kwamba Nina shida na mwenye kujua au kufahamu zinapopatina hizi mashine pamoja na bei yake (total cost)
  4. Tecno_one

    Msichana/Mwanamke kuwa na kiji-nyama katika tunda ni ugonjwa au maumbile tu!!?

    Mshana Jr tunaomba utuwekee link hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Tecno_one

    Roman Reigns Vs Samoa Joe

    Roman reigns ana deserve kwenye summer slam kwa kuangalia mechi ya jumapili iliyopita kwenye great ball fire .. Roman is the best wrestler ever Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
  6. Tecno_one

    Kama kuna mwenye kufaham namna kubadilisha combination

    Shule aliyopangiwa haina hiyo combination ya CBG
  7. Tecno_one

    Kama kuna mwenye kufaham namna kubadilisha combination

    Yap yap ameyasoma na yote ameyafaulu
  8. Tecno_one

    Kama kuna mwenye kufaham namna kubadilisha combination

    Habarini wapendwa, poleni kwa shughuli za kulijenga taifa. Nadhani kichwa kinajieleza vizuri.. Nina ndugu yangu amepagiwa combination ya EGM sasa yeye anataka kwenda kusoma CBG, naombeni mwenye kujua taratibu zakubadilisha anijuze hapa!! Natanguliza shukrani[emoji120] [emoji120]
  9. Tecno_one

    Inflation iliyopo sasa Tanzania

    Wakuu poleni kwa majukumu yakila siku iko hivi mwaka Jana nilikua na plan zakufungua biashara lakini kutokana na changamoto za hapa na pale nilishindwa, lkn Mungu mwema nimejitahidi mwaka huu naona kamtaji kangu kametimia lakini wasiwasi wangu ni juu ya huu mfumko wa bei uliopo hapa nchini kwa...
  10. Tecno_one

    Hawa vijana wanasoma kweli au wanamambo yao?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom