Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Still there in my throat?? Soma kichwa cha habari,kasema aulizwe chochote kuhusu java. Haya get out of my shoes..Nilijua HKL mtajipitisha hapa, kuomba maji ya kunywa..!
Still there in my throat?? Soma kichwa cha habari,kasema aulizwe chochote kuhusu java. Haya get out of my shoes..Nilijua HKL mtajipitisha hapa, kuomba maji ya kunywa..!
Jibu kimalkia hicho hicho
bahati mbaya kiswahili hapa kinagota ngoja nikupe vitu namna hii.
java is an object oriented programming language with a built-in Application programming interface(API) that can handle graphical user interface (GUI) used to create applications or applets .
mfano
maserati umeclick/umebofya icon ya whatsapp hiyo ni GUI ili ifunguke mpaka uone ndani kuna message n.k kuna kitu inaitwa API ndio inayo itikia na kukufungulia dunia kuwa unachotaka au sio.
mfano mwingine ni tuchukulie umegusa ngozi ya kiumbe kilicho hai kitahisi umekigusa na kitashituka/respond maana yake umegusa GUI na Sasa API anarespond kupitia GUI
au tuseme GUI bila API ni sawa na MWANADAMU BILA UHAI
Thank you..
bahati mbaya kiswahili hapa kinagota ngoja nikupe vitu namna hii.
java is an object oriented programming language with a built-in Application programming interface(API) that can handle graphical user interface (GUI) used to create applications or applets .
mfano
maserati umeclick/umebofya icon ya whatsapp hiyo ni GUI ili ifunguke mpaka uone ndani kuna message n.k kuna kitu inaitwa API ndio inayo itikia na kukufungulia dunia kuwa unachotaka au sio.
mfano mwingine ni tuchukulie umegusa ngozi ya kiumbe kilicho hai kitahisi umekigusa na kitashituka/respond maana yake umegusa GUI na Sasa API anarespond kupitia GUI
au tuseme GUI bila API ni sawa na MWANADAMU BILA UHAI
sio java wala xml ila kumbe ni kitu gani mkuuu?unaelewa uzi unasemaje jamani huu uzi wa java na xml(extended markup language) sio html na javascript
hahaha we jamaa mchokozi sanaNilijua HKL mtajipitisha hapa, kuomba maji ya kunywa..!
Je ni kwanini java haisapoti multiple inheritance bila interfaces?mi sio mwingi sanaaaa ! lakini niulize chochote kuhusu lugha hizi uone kama niko vizuri au hapana
zingatia:
HAPA TUNAZUNGUMZIA JAVA NA XML(EXTENDED MARKUP LANGUAGE)
SIO
JAVASCRIPT NA HTML
The top ones ni eclipse, netbeans na IntelJNi editor IPI... Ambayo ni nzuri kwakufanya java
sio asilimia zote kua kila application iliyopo kwenye play store au inayoinstalliwa kwenye android imetengenezwa na Java programming lang.Kwa kifupi kama unamiliki smartphone inayotumia android jua java imetumika kutengeneza applications unazo download play store!
Nilitegemea hii comment...sio asilimia zote kua kila application iliyopo kwenye play store au inayoinstalliwa kwenye android imetengenezwa na Java programming lang.
Thanks naomba introduction ya java kidogo nipate mwangakaribu
Haisupport multiple inhertence mpaka uwepo wa interface kwasababu class inakuwa na uwezo wa kuinhert interface nyingi zikiwa na methods zinazofanana/kwa lugha nzuri ni kwamba interface zinakuwa na methods ambazo uwa public/abstract .kwa maana hii method ndani ya interface haiwezi kujifanyia tu implementation pekeyake so tunaitaji interface kwa ajili ya multiple inhertence.Je ni kwanini java haisapoti multiple inheritance bila interfaces?
Ni mazingira gani unatakiwa kutumia abstract classes na methods?
Ni editor IPI... Ambayo ni nzuri kwakufanya java
Haisupport multiple inhertence mpaka uwepo wa interface kwasababu class inakuwa na uwezo wa kuinhert interface nyingi zikiwa na methods zinazofanana/kwa lugha nzuri ni kwamba interface zinakuwa na methods ambazo uwa public/abstract .kwa maana hii method ndani ya interface haiwezi kujifanyia tu implementation pekeyake so tunaitaji interface kwa ajili ya multiple inhertence.
AU VIPI MKUU
pia naitaji abstract classes ninapotaka kufanya classes zinazoendana zichukuriane code na pia abstract method wakati nataka subclasses ziimplement kila method kwa namna yake.
Kiuhalisia huwezi uka inherit au uka extend interface kwa kutumia class!L
Nimesema mi si
mwingi sana labda unisaidie kwenye hayo makosa
interface persons{
void name();
void surname();
}
interface activities{
void nameOfActivities();
}
class Group implements persons,activities{
@Override
public void name() {
System.out.println("My name is ABC");
}
@Override
public void surname() {
System.out.println("my surname is XYZ");
}
@Override
public void nameOfActivities() {
System.out.println("My activities are ....");
}
}