Yap yap ameyasoma na yote ameyafauluJambi LA kwanza he amesoma sayansi? Maana combination ya EGM ni ya biashara zaidi na ile ya CBG ni ya sayansi. Kama ana uhakika amefaulu hayo masomo ya sayansi hayo ya CHEMISTRY, BIOLOGY, NA GEOGRAPHY basi akifika shule aliyopangiwa ndiko mnaweza kuanzia kufuatilia nia ya kubadilisha combination. No jambo linalowezekana, kama ana sifa hizo!
Shule aliyopangiwa haina hiyo combination ya CBGKama shule ina hiyo comb ya CBG na yeye anavigezo vya kwenda CBG.. ATABADILISHA TU... maana walimu wa academic huwa wanatangaza.. Au akiona kimya amfate academic ofisini kwake.... All the best
Ni girlShule gan umepangiwa? kama boy inabidi uwe na point 8 kwa comb hiyo na girl ni 9 means that kama wewe comb yako una c flat tayari huna sifa kwa boy lakin
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us