Asante.
Wakati huo wote Mtuhumiwa/Watuhumiwa wanakuwa wamekamatwa ama laa?
Ikiwa wanakuwa wamekamatwa kwa kudaidia kutoa maelezo ya madai wanayotuhumiwa nayo nini huwa kinazuia hatua hizo?
Nashauri w
watuhumiwa wakamatwe, wafunguliwe mashtaka wakati upelelezi ukiendelea kama ambavyo hufanyika katika kesi zingine.
Huyu bwana atapewa summons na Mahakama aende akatoe huo ushahidi
Wafanyakazi wa Equity miezi ya hivi karibuni wamesomewa mashtaka mahakamani wengi wamejichotea pesa hovyo hovyo hadi nashangaa benki gani watu wanajibebea tu pesa kirahisi namna hii.
Hapaaminiki
Habari wakuu.
Bila kuwapotezea muda, kwa kila ambaye amewahi kutumia huduma za kibenki hapa Nchini kwetu Tanzania kuna tabia ya uchelewevu wa huduma na upotevu wa muda sana hasa ukifika Matawini na ATM.
Leo nataka tuangazie hili la huduma za kwenye matawi hasa zile za kufuata ndani ambazo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.