Recent content by Technologiest

  1. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Funga bandage kidole anachonya wengine pia hutoboa kidogo kidole na sindano akinyonya anaumia anaacha. Kuna dogo licha ya kumsema yeye amenyonya kidole hadiu anamaliza chuo na sahivi akiwa katika kazi zake anajisahau unakuta kidole mdomoni
  2. Technologiest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuambia tuachane, muache siku hiyo hiyo hata kama alikuwa anatania

    Mwanadamu huwa hatanii kimtokacho ndicho kiujazacho moyo wake
  3. Technologiest

    JamiiForums Tanzania LIVE: Mei Mosi Samia anaunguruma mda huu

    Siwezi kulia zaidi kumsema aone aibu
  4. Technologiest

    JamiiForums Tanzania LIVE: Mei Mosi Samia anaunguruma mda huu

    Lete updates Mkuu
  5. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Inawezekana kurudia hali hiyo. Hiyo ni Karama ya Mungu ndani yako kama usemayo ni kweli, unahitaji kulipa gharama ya kunyenyekea kwa Mungu ili uweze kurudishiwa. Sahivi ukute karama yako inatumika na mganga fulani huko, kama upo serious tuwasiliane pm nikupe maelekezo.
  6. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Jana nilikutana na mimi

    Ningewajua ndugu zako ningewashauri wakuwahi mapema unaweza kupona
  7. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona Morogoro, ni sahihi kusema serikali ya CCM inachelewesha maendeleo ya huu mkoa kwa makusudi kabisa!

    Umesahau Madini katika Mkoa huo yako mengi sana
  8. Technologiest

    JamiiForums Tanzania CCM yampiga chini Fred Ngajiro (Vunjabei) Ubunge wa Jimbo la Isimani, yamteua Emmanuela Mtatifikolo

    Ni Muda wa bradha angu kuachana na siasa
  9. Technologiest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, una tabia ya kuongea na wewe mwenyewe?

    Katika kila tendo /maisha ya mwanadamu kuna roho inayomwongoza kufanya jambo fulani yamkini ni roho chafu ambayo husimamia matendo machafu kama wizi, zinaa,ulevi ama husuda na Roho safi ambayo husimamiwa na Roho Mtakatifu mwenyewe. Bila Shaka umeshawahi kutaka kufanya jambo ama kusikia mtu...
  10. Technologiest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, una tabia ya kuongea na wewe mwenyewe?

    Kiufupi hizo zote ulizizitaja kama tabia ni roho chafu zinazofuatilia mtu na kumtumikisha zipendavyo ili kuharibu ukuu wa mtu ambao aliumbwa nao.
  11. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Asante Mungu kwa kutuonyesha "ukihiyo" wa Othman Chande, wengi hatukumjua kabla

    Ifike mahali vyuo vianze kuwanyang'anya vyeti wasomi ambao hawatendei haki taaluma zao.
  12. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Ukiingia JF pita hapa kwanza kutoa salamu

    Salaam Wakuu
  13. Technologiest

    JamiiForums Tanzania Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

    Wewe mzee sema wateja wamekuja sana leo kilingeni kwahiyo nyama ziko za kutosha pamoja na kibuyu kimejaa pesa
  14. Technologiest

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Juma: Baada ya Ripoti Kutoka, tumepokea simu za matusi zaidi ya 300

    Ni ngumu sana kujielezea mbele za Watanzania kwamba wewe ni Msomi na wakuamini. Elimu inabaghazwa sana
Back
Top Bottom