Recent content by Technologiest

  1. Technologiest

    GE2025 Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa

    Asante. Wakati huo wote Mtuhumiwa/Watuhumiwa wanakuwa wamekamatwa ama laa? Ikiwa wanakuwa wamekamatwa kwa kudaidia kutoa maelezo ya madai wanayotuhumiwa nayo nini huwa kinazuia hatua hizo?
  2. Technologiest

    Qatar wanavuna walichopanda kwa kukubali kushirikiana na Marekani

    Aliyesoma hadi mwisho afanye summary. Naona ujumbe umekaa kimashambulizi
  3. Technologiest

    GE2025 Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa

    Nashauri w watuhumiwa wakamatwe, wafunguliwe mashtaka wakati upelelezi ukiendelea kama ambavyo hufanyika katika kesi zingine. Huyu bwana atapewa summons na Mahakama aende akatoe huo ushahidi
  4. Technologiest

    GE2025 Polisi: Polepole afike Ofisi ya Mpelelezi wa Makosa ya Jinai ili kuthibitisha Tuhuma anazozitoa

    Naomba kuuliza, ushahidi hutolewa mahakamani ama Polisi?
  5. Technologiest

    Mnasovu vipi mambo kama haya muwapo safarini?

    Omba toba kwa hiyo tamaa ya uzinzi. Gari ikipinduka hapo mbele ukafa utaenda kujibu nini?
  6. Technologiest

    Je huduma za benki ya NBC zikoje kwa wazoefu?

    Kwa haya yalotokea bank in my house.
  7. Technologiest

    Natamani sana kupata uraia wa hizi nchi yani nitafurahi

    😂😂😂 Wewe uwahishwe kwa matibabu, utapona.
  8. Technologiest

    Ni vema Mshana Jr aache wosia JamiiForums akitangulia mbele ya haki ajulikane wazi

    Daaaah!!! Jamaa umewaza nini? Mshana mbona tunashinda nae huku Msata 😂
  9. Technologiest

    Je huduma za benki ya NBC zikoje kwa wazoefu?

    Wafanyakazi wa Equity miezi ya hivi karibuni wamesomewa mashtaka mahakamani wengi wamejichotea pesa hovyo hovyo hadi nashangaa benki gani watu wanajibebea tu pesa kirahisi namna hii. Hapaaminiki
  10. Technologiest

    Je huduma za benki ya NBC zikoje kwa wazoefu?

    Mnataka mhame mtuache peke yetu wakuu? Tupambane sote 😭😭😭
  11. Technologiest

    KERO Foleni kubwa katika kupata huduma katika Mabenki

    Habari wakuu. Bila kuwapotezea muda, kwa kila ambaye amewahi kutumia huduma za kibenki hapa Nchini kwetu Tanzania kuna tabia ya uchelewevu wa huduma na upotevu wa muda sana hasa ukifika Matawini na ATM. Leo nataka tuangazie hili la huduma za kwenye matawi hasa zile za kufuata ndani ambazo kwa...
  12. Technologiest

    Tarehe 8/9/2025 siku ya ukombozi wa Tanganyika Huru

    Wewe kijana!!! 🤔🤔
  13. Technologiest

    Nashangazwa sana na watu wa Pwani hasa Tanga wana mambo ya ajabu sana

    😂😂😂😂Mkunga umeamua kutufunda Watanganyika?
  14. Technologiest

    GE2025 Samia: Sio shida wala aibu kwa chama kuwasafirisha wanachama wake

    Tanzania Tanzaniaaa .,. nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania...
Back
Top Bottom