Recent content by Teacher DS

  1. Teacher DS

    Walimu tubadilishane scheme of work kwa 2018

    Hoya nitumie hizo za biology 1-4 nitakupoza mkuu. Seriously.
  2. Teacher DS

    What's your favorite movie line/quote?

    "Don't hate the player, change the game" Think like a Man.
  3. Teacher DS

    Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

    Na hayo maji anayapata bure broo? Kama hapati bure mbona hutuambii kila dumu ananunua sh. Ngapi. Je kama kila dumu ananunua sh. 200? Kafanye utafiti vzr then urudi tena utupashe habari iliyokamilika. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Teacher DS

    Mikoa masikini zaidi nchini Tanzania kwa mwaka 2017/2018

    Bora uwape taarifa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Teacher DS

    Nasikia harufu ya damu Man United vs Real Madrid

    Mkubwa mwenye pesa. Ukiwa na pesa utapewa tu shikamoo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Teacher DS

    Vituko vya couple za JamiiForums

    Kumbe kuna couples humu? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Teacher DS

    Nachingwea kukoje

    Kuko kuzuri huduma zote muhimu zipo. Maji, umeme, vyakula pia sio bei juu. Utaenjoy labda uende vijijini. Kuna vumbi jekundu pia, so gud luck broo. Mm huko ni home najua kila uchochoro.
  8. Teacher DS

    Remy ma aumaliza ufalme wa Nicki minaj

    Mkuu, mwanamke hawi mfalme anakuwa malkia. Sorry nilikuwa nasalimia tu.
  9. Teacher DS

    Je! Mashine za kunyolea (za saloons) zinaweza kukuambukiza virusi vya UKIMWI?

    Uwezekano upo ila ni mdogo sana. Iekeweke kuwa HIV ni miongoni mwa virus dhaifu mno, kiasi ambacho vinaweza kufa hata kwa temperature ya 45°C. Pia hata vikipigwa na upepo kwa muda hata wa masaa 2 vikiwa nje ya mwili wa host, vinakufa pia. Inatakiwa muathirika awe na virus vingi mno ili aweze...
  10. Teacher DS

    Another BossLady in the House, Hodiii

    Husna nina kitu cha kukuambia. Ila sitakufuata PM kama hutojali itabidi unifuate wewe. Its for u, Seriously.
  11. Teacher DS

    Hujawahi kufika kileleni halafu unajisifia umefanya mapenzi

    Kama hujui unakokwenda si rahisi kusema umepotea. Sasa kama mtu kilele hakijui HOW aseme kwamba hafiki? Ni nafikiri anza kumuelezea kinagaubaga kilele kinakuwaje kama na wewe unakijua lkn. Asante.
  12. Teacher DS

    Kwanini wanawake wakishikwa maziwa yanakuwa makubwa lakini wakishikwa makalio hayawi makubwa?

    Matiti ya mwanamke yanaweza yasishikwe na yakawa makubwa tu, Si kweli kwamba makalio ni sehemu sensitive zaidi ya sehemu zote za mwanamke. Mwanafunzi wa kike hachapwi kwenye makalio kwa sababu ya delicateness ya mwili wake. Kimsingi wanawake walitakiwa was I cheap we kabisa kwa sababu hakuna...
Back
Top Bottom