Sio lazima ulambe, unaweza tu kufanya kama una pa kiss, una pa tease tease smooch smooch kwa mbali, huku ukiwa unaongea maneno matamu Mbona flesh tu.. Halafu wanawake wengi hatupendi hiyo ya kunyonywa na mi mate trust me.. tunapenda tu ile gentle smooches basi just be sexy na mtundu Mengine...
Hilo Soko si waliambiwa wahamishwe ili wajengewe soko la kisasa lenye miundombinu mizuri walikataa?!!! Fedha za Ujenzi zipo lakini wanawatumia wanasiasa kuwakingia kifua ilihali halmashauri ya Jiji inataka kujenga soko kubwa kama la Machinga pale Magomeni. Sasa hivi wanalalamika nini wakati...
Nimefanya Test toka mwezi wa saba 2025 ila kila ukiuliza Mbona matokeo hayaonekani?!!! Hakuna majibu zaidi ya blah blah, Chuo cha hovyo sijawahi kuona. Unamuandikia supervisor anakuja kukujibu baada ya miezi 4, no matter what sisi watoto wa Maskini tutamaliza japo kwa mbinde sana ila Mwenyezi...
Unajuaje hana habari.? Yan Kamati za Ulinzi na Usalama za wilaya na Mkoa wasiwe na Taarifa ila wewe uko nayo. Wakati Mwingine sio sahihi kutoa taarifa ambazo uhakika nazo, Mamlaka za Serikali kutokee vifo vyote hivyo na wananchi wasitoe taarifa ila wewe peke yako ndiyo uwe nazo?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.